Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Mpigaji balaa. Halafu analeta mabasi waziwazi kujifanya hajaiba kitu. Mama timua huyo.
 
Bado wapo wanaoisifia mkuu awamu ya sita,lakini ni kweli,awamu hii ni very incompetent.Lakini tangu lini watu wa pwani wakawa serious,wanejaa uswahili Swahili tu.
 
Mwigulu ni mzalendo Mwigulu sio Tajiri na hana ujanja wa kuiba 1.7 Trilion hiyo akili Hana kinachomponza Mwigulu ni dharau na upole wake na kupenda kukubalika ndio maana anawaacha watu wajichotee Mihela wamuone ni Mshkaji
 
Ni ajabu sana jinsi watu wanavyojifanya hawakumbuki maswala muhimu, hadi hapo yasiyotegemewa yanapoibuka.

Hili swala la "single source" alilizungumzia Rais mwenyewe, wakati huo walipoamua kuachana na utaratibu uliokuwepo.

Sasa hivi kila lawama anatupiwa waziri, kana kwamba ni yeye aliyefanya maamuzi yote!

Na hata baada ya waziri huyo kuelezea rais kuwa na taarifa hizo, bado watu wanang'ang'ana na waziri tu!

Waziri peke yake ataweza vipi kufanya uhujumu wa aina hiyo bila uwepo wa ushiriki wa serikali nzima, akiwemo na rais mwenyewe?
 
Inawezekana nawe umesahau lililpoanzia hili jambo la SGR na mabadiliko hayo ya 'Single Source'.

Hili jambo alilizungumzia Samia mwenyewe lilipokuwa likifanyika.

Hapa akina Mpina ni namna tu ya kushindwa kueleza linakotokea tatizo kwa kuogopa uzito wa aliyeruhusu lifanyike, badala yake wanaona ni rahisi waelekeze mashambulizi kwa waziri.

Simtetei Mwigulu kwa jambo lolote, lakini ufafanuzi huu inabidi utolewe ili watu wajue tatizo linaanzia wapi.

Serikali ya Samia, nadhani kwa pamoja walikaa chini na kuamua kutafuta vyanzo vya pesa kwa malengo waliyo nayo wenyewe ndani ya chama chao.
Hizi ni hela zinazokusanywa kwa lengo hilo maalum.

Hayo maigizo anayofanya Samia kwa kuvunja Bodi ya wadhamini, utadhani kuwa hata yeye hakumbuki alichowahi kuzungumzia wakati wakifanya maamuzi hayo.
Na kwa jinsi nchi yetu ilivyo sahaulifu, mbinu zao kila mara hufanikiwa kwa kuvungavunga tu mambo bila ya kuweka ufumbuzi unaoeleweka.

Hizi peas anazodaiwa kuzichota Mwigulu, huo ni mpango maalum ndani ya chama chao wa kukusanya pesa.
Mwigulu, kama Mwigulu hana uwezo wa kukwapua kiasi hicho cha pesa, bila ya mpango kama huo.
 
Uongo na majungu matupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…