Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
CAG alichosema ni estimate ambazo gharama zimeongezeka kwa tsh 1.7 na Mwigulu anapewa lawama kupitisha hiyo tender bila ya ushindani.Duuuh aseee kwaiyo ni uongo na hakuna ufisadi uliofanyika hata shs 100 π€π€
Duuh sawa yangu macho tu
Ok nimeelewa mkuuu shukrani πͺπCAG alichosema ni estimate ambazo gharama zimeongezeka kwa tsh 1.7 na Mwigulu anapewa lawama kupitisha hiyo tender bila ya ushindani.
Lakini estimate zenyewe yardstick ya CAG ni miles costs za ujenzi wa awamu ya kwanza. Hilo nalo ni questionable kama gharama zinaweza kuwa sawa kwa sababu nyingi sana zinaweza pishana.
Mwisho wa siku huo ujenzi ata kuanza sidhani au kama umeanza upo hatua za mwanzo, na wanalipwa kwa certificate sasa hiyo hela Mwigulu ataichota saa ngapi yote.
"If you cant fight with them then join them" ππππInasikitisha kuona mnaleta msihara kwenye swala nyeti la upotevu wa Fedha nyingi za uma kwa kiasi kikubwa hivi.Tunapolichukulia ki masihara ndipo wenyewe watazoea na kuona la kawaida hakuna hatua watachukua
Kalmbishwa huyo mkuuuu tena kwa chinichiniKwa taarifa hii,naona kabisa madudu ni mengi,
Hakuna madudu yaliyofukiwa,ndio tuseme CAG mwaminifu sana?hakuna sehemu kapewa hata ka mnofu ama basi hata kulamba ka mchuzi? Siamini.
CAG taarifa zake zinakaguliwa na nan?Kalmbishwa huyo mkuuuu tena kwa chinichini
Utakufa utaacha vizazi vyako mkuuuutupo kwa muda tu
Hamna mtu mkuuuCAG taarifa zake zinakaguliwa na nan?
yani umesababisha tuteseke mpumbavu weweUtakufa utaacha vizazi vyako mkuuuu
Usijifariji na hiyo misemo au unataka watoto wako wapige kaburi lako teke
π¬π¬π¬π¬π¬πππ Kwann mteseke sasa nimefanyaje kwani?yani umesababisha tuteseke mpumbavu wewe
hayo maneno ya wajukuu sasaπ¬π¬π¬π¬π¬πππ Kwann mteseke sasa nimefanyaje kwani?
Ukweli mchungu vifo vyote vya matajiri nilivyohudhuria watoto wamelia sanahayo maneno ya wajukuu sasa
Sema wengi ni watoto tu akili hawana, wanachezea mnoo...wasipokaa sawa badae watakuja kuwa machizi barabaraniUkweli mchungu vifo vyote vya matajiri nilivyohudhuria watoto wamelia sana
Ila walifarijiwa na ukwasi wa wazazi wao au baba yao aliowaachia imagine mtu anaachiwa apartment 7,nyumba 1,gari 3,account benki billioni 9.7, hapo kaajiriwa sehemu nzuri
Ni mwendo wa kulamba asali tu mpaka unaingia kaburini
Usijifariji na hio kauli ya "sote tutakufa"
Hizi waachie mapadri na masista wasio na watoto wewe zitakuumiza sana pamoja na uzao wako
Hayo ni yangu
Mmmh sio wote ni wapumbavu mkuuuuSema wengi ni watoto tu akili hawana, wanachezea mnoo...wasipokaa sawa badae watakuja kuwa machizi barabarani
Ila 9.7B mzee kwny acc duuu na mijengo yote hiyo sio poa. Ndomana siku hizi barabara zimechafuka kwa mavyuma makali sanaa huko mtaaani aloooMmmh sio wote ni wapumbavu mkuuuu
Wengine washaandaliwa kuanzia walivyokuwa wadogo
Hahaha ni kweli kuna ongezeko la V8 nyingi za 2021 huku barabarani famchezo nnIla 9.7B mzee kwny acc duuu na mijengo yote hiyo sio poa. Ndomana siku hizi barabara zimechafuka kwa mavyuma makali sanaa huko mtaaani alooo