Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimwona kobe juu ya mti, usiulize kafikaje huko...kapandishwa!Mwigulu Nchemba anafanya uhujumu uchumi mkubwa sn, sema anakula rushwa na wakubwa
Mifumo ya nchi imeoza kazi yao kubwa ni kutukana DEDs sababu hawana mteteziUkimwona kobe juu ya mti, usiulize kafikaje huko...kapandishwa!
Tanzania ni nchi ya simpletons, kwa political democracy bado (democracy ni dhana pana). Simaanishi mazuio ya kutokosoa serikali au kuwapangia watu namna ya kuishi.
Nonetheless nchi inahitaji social reformers (technocrats). Either kutoka kwenye vyama vya au civil servants (ideally) kuweka mambo sawa for atleast 20 years. But the nation needs proper civil servants in control on running the show.
Ukisoma mijadala ya JF jukwaa la siasa over 90% not only they don’t understand politics but how things work generally.
Ndio ukweli
Mpina Huwa ni mzushi na muongo muongo ndio maana Toka ameanza kuja na uzushi hakuna kilichowahi fanikiwa kuitikisa Nchi.Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.
Mnalishwa uzushi na Mpina ,hivi amewaambia kwamba Mkoani kwake Kuna mradi hui hapa wa Mkopo?Inawezekana Kafulila yuko sahihi .
Inawezekana wakandarasi kweli wana Accounts pana kiasi hicho .
Inawezekana ndiyo Masharti ya hiyo mikopo .
Inawezekana kuna miradi miradi mikubwa inafanywa hatuijui ndio maana tunashangaa hizi pesa zilikwenda wapi .
Trilioni 7 ni pesa nyingi sana kutopitia hazina , na unajiuliza hazina wanalipaje mikopo kupitia taarifa tu .
Anajua hakuna sheria yoyote ile ya kumbana.Mwigulu chemba yeye ananunua mabasi kila siku tu
Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.
Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.
Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.
Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.
Singida BS. Kikwete kahakikisha Nchimbi anakuwa Makamu wa Rais baada ya uchaguzi wa 2025 anajua hata ikitokea yeye JK akawa keshatangulia mbele ya haki kina Ridhiwani wasije kupata taabu, na ikitokea akawepo miaka hiyo basi mambo yake yanyooke tu.Mambo yanazidi kua ya moto.
Watu wanajiuliza jamaa anapata wapi Hela namna hiii za kumwaga pale Klabuni?.