Mkuu............wala usipate tabu.Lipumba aliufahamisha Umma kuwa kila wakati waislamu wanapoomba dua (kwa kiarabu mara zote), wanaomba kuwa Mwenyezi Mungu awanusuru na Makafir, awaepushe na mbinu za Makafir. Akajibiwa Takbir.
Makafir ndio wakina nani?
Amandla.......
Nyie endeleeni kutapatapa. Janja yenu kwisha julikana.
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Huyu ajuza FaizaFoxy ni mnafiki sana..
Ni kweli katoa kanisani..........So what?
Mtafanya nini?........Labda kuja kumbwelambwela hapa JF. Nothing More, nothing less.
A confused mind is a lost mind.
Mnaipenda CCM ya LUKUVI, na Kuipenda Serikali ya Kikwete, ambayo ni ya Mfumo Kristo........wtf !!is that?
Dogo kajifunze Afaghanstan ishakwisha habari yake.Halafu wewe sio gaidi ni mtoto wa mama flani hivi.Kaa pembeni ngoja nikuitie wenye vielement vya ugaidi uone povu lao.Haya @Bhoko Haram njoo kuja huku umfundishe ugaidi huyu kijana mpenda dunia.Wewe Kenge shosti, AK47 unqijuwa peke yako? Kwani mliikuta Zanzibar iko Africa Kusini? Ivyo unadhani huu Muungano feki ulikuja kuondoa Uislamu, umesikia wapi imani ikaondolewa na mtutu wa bunduki? Wameshindwa bwana zenu wazungu kule Afghanistan, mtaweza nyinyi? Watu wenyewe hata kuogelea hamjui.
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
wakati lukuvi anatamka (kujipaka mavi kanisani kama ulivyo sema) huo uharo alikuwa kajivua uanachama wa CCM?.
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Mkuu,
Mbona watuletea hizo "siasa za uwanja wa fisi"!? Daah!
Tatizo lenu nyinyi "wataalamu" wa Bavicha/Ufipa...yaani takriban kila jambo basi mnahusisha ile vita ya walevi...yaani Chadema Vs CCM,sio!? Daah!
Ahsanta.
Serikali ya CCM haina maslahi kwa Watanzania, wewe pia unalijua hilo ingawa kila kukicha unaipigania hapa lakini zikija issues ndiyo unanza kuja na haya ya serikali Kristo blah blah blah. With CCM Tanzania haitafika popote ........... ni siasa tu hakuna maendeleo zaidi ya propaganda. Juzi juzi tu watu walikuwa wanauponda walaka wa Lema wakati una ukweli ndani yake. Udini unanuka Bongo noma na chanzo ni CCM!!
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.
Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".
Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.
Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.
Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?
Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.
Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?
[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]
cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
Nadhani haumfahamu Ritz vizuri mimi sishikiwi akili na viongozi wa siasa kama nyie mnavyoshukiwa akili na Mbowe na Dr.Slaa, mimi naangalia dini yangu kwanza, wewe mbona hautaki kufuata tamko la Pengo anataka serikali mbili. mimi ni Mtanganyika nataka huu muungano uvunjike tuwakabidhi Zanzabar nchi yao halafu tupambane sisi kwa sisi huku Tanganyika, nyie wakirsto si mnafundishwa makinisani kwenu kuwa mchague serikali mbili, tusubiri tuone.Usikwepe hoja Mkuu,M/Kiti wa chama chako anataka serikali mbili za huo "Muungano wa kanisa" kwani kashikiwa bunduki na kulazimishwa? Wewe ni CCM damu na M/kiti wako katoa msimamo wa chama chenu ni Serikali mbili,swali Je unataka wapambane vipi kuuondoa huo muungano wa kanisa wakati wewe Mwislam na M/kiti wako mwislam pia mnautetea kwa mapovu na kuwakejeli kina Mzee Warioba (Mkristo) ambae alishauri kuwe na serikali 3?
Huu nao ni Mfumo Gani FOX? Usipepese macho wala Kumung'unya maneno!! LIPUMBA AIBUA JAMBO ZITO - AKIRI KUMNUSURU KIKWETE UCHAGUZI MKUU MWAKA 2010
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameibua suala zito akikihusisha chama chake na kumnusuru Rais Jakaya Kikwete katika uchaguzi mkuu uliopita.
Profesa Lipumba alitoboa siri hiyo katika Msikiti wa Idrissa, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, alikokwenda kuswali swala ya Ijumaa.
Huku akisisitiza juu ya umuhimu wa mshikamano wa kiimani, Profesa Lipumba alianza kwa kuzungumzia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2010, na ushindani mkali wa kisiasa uliokuwapo.
Alisema hawaoni matunda ya jitihada walizofanya kumnusuru Rais Kikwete asishindwe, kwani hata chini ya uongozi wake, Waislamu wameendelea kutothaminiwa.
Ninyi masheikh mnajua vizuri zaidi hali ya kisiasa ilivyokuwa, kwamba ilibidi zifanyike juhudi za makusudi ili kuokoa jahazi. Lakini pamoja na kuliokoa jahazi, hali halisi inaonyesha mpaka sasa hakuna matunda yoyote yaliyopatikana, na tupo katika mtihani mgumu zaidi, alisema.
Katika hali ambayo inasemekana ushindi wa Rais Kikwete ulipatikana kwa mbinu, huku wengine wakiituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ilimnusuru mgombea wa CCM, kauli hii ya Profesa Lipumba inadokeza kwamba anajua mkakati zaidi wa kazi ya Tume ya Uchaguzi.
Katika hali isiyo ya kawaida, Profesa Lipumba anaonekana kuhamasisha Waislamu kujipanga akisema wenzetu wameanza kujipanga kuelekea 2015.
Kwahiyo kama Waislamu tunataka kupata haki zetu, kama tunataka kuishi kama raia wa daraja la kwanza katika nchi yetu, lazima tujipange kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015; na sisi tuanze kujipanga kwa sababu wenzetu wameanza kujipanga, vinginevyo tutaendelea kubaki maskini na raia wa daraja la nne katika nchi yetu wenyewe.
Mwaka 2010 wakati mshindi wa uchaguzi wa rais alipotangazwa, mimi nilikwenda kwenye hafla ya kutangazwa matokeo, na nilikwenda makusudi tu, siyo kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, ila nilikwenda makusudi kwa kujua hali ya kisiasa ilivyokuwa wakati huo.
Huku nilikutana na Sheikh Basaleh. Nilipokutana naye, alinipongeza; sijui kama yeye anakumbuka, akaniambia umeweka mbele imani yako na umekuwa mwelewa wa mambo.
Hata hivyo, licha ya Profesa Lipumba kuwaambia Waislamu wajipange kwa ajili ya uchaguzi mkuu, hakusema wajipange kupitia chama kipi.
Lakini alisisitiza kwamba uchaguzi ujao ni zaidi ya siasa au rais yupi anafaa, bali maslahi, hasa ya rasilimali nyeti zinazopatikana katika ukanda wa Pwani ya Mashariki, eneo ambalo alisema linakaliwa zaidi na watu wenye imani ya Kiislamu.
Katika moja ya kauli zake, Profesa Lipumba alisema kwamba kuna chama kimoja kinataka kuchukua madaraka ya nchi, lakini kinasaidiwa na mataifa ya magharibi, yasiyoenzi wala kuthamini imani ya Kiislamu.
Kwa muda sasa, zimekuwapo tetesi kwamba CCM imekuwa inafanya siasa za udini dhidi ya vyama vya upinzani, hasa inapoona maslahi yake yapo hatarini.
Mwaka 2010 makada kadhaa wa CCM walitumia mitandao ya simu kuchonga (spoofing) ujumbe wa simu ulioshambulia mgombea mmoja wa upinzani, ukimhusisha na imani yake.
Kauli ya Lipumba imethibitisha pia minongono iliyokuwapo muda mrefu kuwa baadhi ya kura za Profesa Lipumba zilipotelea kwa Rais Kikwete.
Katika uchaguzi huo, Lipumba alitangazwa kushika namba ya tatu, nyuma ya Rais Kikwete na Dk. Willibrod Slaa wa CHADEMA.
Alipoulizwa kuhusu ziara yake msikitini na kauli aliyotoa, Profesa Lipumba alikiri kwamba alikwenda kuzungumzia hali ya kisiasa nchini. CHANZO: Tanzania Daima - Mei 26, 2013
Lipumba aliufahamisha Umma kuwa kila wakati waislamu wanapoomba dua (kwa kiarabu mara zote), wanaomba kuwa Mwenyezi Mungu awanusuru na Makafir, awaepushe na mbinu za Makafir. Akajibiwa Takbir.
Makafir ndio wakina nani?
Amandla.......
Mpuzzzzzi wewe na muasisi wa ugaidi Muhammad
Sent from Iphone