Siku zote tukisema kuwa CCM ndio muasisi na mchochezi wa udini katika taifa hili FaizaFox alikuwa mstari wa mbele kuitetea CCM. Imekuwaje leo? Lukuvi kakufumbua macho?Uchambuzi wako unaonyesha wazi kuwa tatizo ni ccm!
Yes! Huyu FaizaFoxy nimesoma mara nyingi maandiko yake, hudhani CCM ni mtetezi wake, ni kinga yake, ni mkombozi wake, n.k. Lakini anashindwa kabisa kuelewa kwamba huwezi kumutegemea CCM wakati unajua ni kundi lisilo na ethics. Watakufanyia lolote!
Leo sasa wamemuning'iniza na badala ya kuona ni kasoro ya CCM bado anapinda na kusema ukristo sijui ni nini!.... hai hoi hai hoi! Next time unapowasifia CCM ujue ni kazi ya kusafisha paka. Hakuna faida na sana sana tegemea makucha.
Humjui Ritz wewe teh teh teh
Soma hii bayana, hata siku moja mwizi huwa hakubali kama ameiba.
Amandla....
Professor Lipumba leo amesema anakwenda Zanzibar kuwaelezea wananchi kinachoendelea, nna uhakika mada kuu haitoliwacha hili la Lukuvi. Au unasemaje?
Anakwenda kushitaki kwa wananchi wa Zanzibar.
tukiwaambia magamba ni janga hamuamini mnazidi kuipigia debe! Sasa mbwa kala mwanae unalia lia nini? Kapike urojo wa bwanao usitupigie kelele humu...
Kamanda naona povu linakutoka kweli kweli, aliyeanzisha yote hayo ni Nyerere, pambanana kumtetea Nyerere lakini tambua unachofanya ni kuziba shimo la panya kwa mkate.Nimeisoma bayana sasa niambie inahusiana nini na Lukuvi na Lipumba? Ninachoona ni Askofu Msonganzila akikana kuwepo kwa mfumo Kristo ambao nyinyi wenye Vaticanphobia mnadai upo.
Amandla.......
Kamanda naona povu linakutoka kweli kweli, aliyeanzisha yote hayo ni Nyerere, pambanana kumtetea Nyerere lakini tambua unachofanya ni kuziba shimo la panya kwa mkate.
Hapa hamna gamba wala gwanda, hapa kuna mfumo kristo. Kusoma huwezi basi hata video imekushinda kusikiliza? utakuwa ndio wale wale.
Totally baseless, si yeye tu. Kila mwenye uadui na Uislaam lazima awe na hofu.
Kalikoroga, sasa alinywe.
Hayo maneno mwambie Tundu Lissu.Nimemtetea wapi Nyerere? Kumbe si Vaticanphobia tu inayokusumbua bali na Nyereremitis nayo inakupa shida!
Pole.
Amandla.......
IKIWA WAZANZIBAR HATUPEWI MAMLAKA YETU KWA SABABU YA DINI YETU ''SIMPLE IT IS DECLARATION OF WAR'' with unpredictable consequences( NI TANGAZO LA VITA vitakavyokua na athari zisizo tabirika sio tu kwa tanzania bali kwa eneo zima la EAST AFRICA. this is very dangerous move toward a civil war.
LUKUVI amegusa maeneo mawili vyeti sana kwa mtu yeyote DINI NA UTAIFA.
tuombe MUNGU WATANZANIA huu usiwe msimamo wa wengi lakini vyenginevyo huyu jamaa kashawasha moto kuliko alouwasha PINDA aliposema zanzibar si nchi. nimewakuta watu wanajadili kauli yake ndani ya msikiti znz.
plz watanzania halahala mti na jicho