Mkuu Ritz,
Wajua mie sijapatapo kumsikia huyo kiumbe aitwae Lukuvi...ndo kwanza leo kwenye hii mada ya FaizaFoxy!
Sasa,najaribu kupitia baadhi ya link/s na previous thread/s humu-JF, ili nijaribu kumsoma uzuri!? Daah!
Lakini pia nipo hapa jamvini kwa utuvu.
Tuko pamoja!
Ahsanta.
Wajua mie sijapatapo kumsikia huyo kiumbe aitwae Lukuvi...ndo kwanza leo kwenye hii mada ya FaizaFoxy!
Sasa,najaribu kupitia baadhi ya link/s na previous thread/s humu-JF, ili nijaribu kumsoma uzuri!? Daah!
Lakini pia nipo hapa jamvini kwa utuvu.
Tuko pamoja!
Ahsanta.