Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Naona suala la serikali 3 linaanza kuwakomboa wengi na ni mwanzo wa chadema kupata audience zanzibar
 
We mfia dini Zanzibar sio nchi ya waislamu ni ya watu wa dini zote na kila mtu ana haki sawa ndani ya Zanzibar.Na kama uislamu wenyewe unaojivunia nao ni wakulipua makanisa,kumwagia watu tindikali,kupiga mapadri risasi,kubagua watu,kunyanyasa wageni na kujilipua walahi hicho kisiwa itakuwa halali yetu mwataka msitake lazima mdhibitiwe hata kwa nguvu ya mtutu.
 


Mkuu sina cha kuchangia ila nataka tu kuweka kumbukumbu sawa kua hapa ilikua mwaka 2005, nadhani umepitiwa kidogo.
 
Tatizo kubwa Tanzania uwa hakuna Mkirsto mdini lakini kutokana na kauli ya Lukuvi kuwafurahisha wakirsto wenzake hakuna tatizo.

Huu muungano upo chini ya Kanisa, angalia kauli za Mrema na Lukuvi.

Wazanzibar pambaneni muikomboe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya Kanisa.
 

Ha ha ha ha ha.......Leo ni full vichekesho....Dahhhh...Kumbe hiki ndio Kirefu cha CCM.....

Hakika Kanisa Katoliki ni powerfull church ever...Kanisa ni kama maji....Lazima uyanywe, usipoyanywa utayakoga, kufulia, au kunyeshea bustani.....

Hakika na hichi ndicho nilichokuwa nasubiria kwa hamu.... CCM kumbe ni Chama cha Kikatoliki.....

Na bado....
 
Nilifahamu kutoka zamani kuwa Lukuvi ni mjinga.Lakini ambacho sikukifahamu kabla ni kuwa ujinga wake ni ule uliotopea, Kiasi cha kushindwa kuzuia hulka zake ovu, wakati huu nyeti wa kupigania upatikanaji wa katiba mpya kwa mujibu wa matakwa na maoni ya watanzania, na si chama tawala.

Hana budi awaombe radhi Watanzania iwapo bado ana chembe ya uungwana. Vinginevyo imetonesha vidonda vya udini ambavyo vilishasilibwa dawa ili vikauke na kupona kkabisa.
 
Nadhani mtoa hoja anakuwa "paranoid" tu! Mtu mmoja kama Lukuvi kuwa na "islamaphobia" haina maana ni conclusion tosha kwamba ni mfumo kristu unatawala hapa. Uki-reason hivyo unakuwa na tofauti gani na Lukuvi? tatizo la watu kama mtoa hoja is that they always see a snake in every little shrub! Yaani wao kila mjusi ni Nyoka!! Treat Lukuvi as Lukuvi na sio mfumo kristu. Vingozi wakuu watatu wa nchi ni Waislam- Rais, Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar how do you say that ni mfumo kristu?
 

Siku zote unatetea Ccm leo ndo umetambua? Kumbe wengi bado ni vipofu ? Na bado kadri siku zinavyowenda ndo mtayajua mengi kuhusu wao chichiemu
 
Last edited by a moderator:
Maoni yng kwa dada Faizafoxy.

hongera sana kwa kufatilia siasa za Tanzania,natamani ningeoa mke mwanasiasa mwenye upeo kama wako,Mungu akupe nguvu,na, kesho utupe habari mpya.
 
tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1
Hivi kuna mdini kama Nyerere na Lukuvi na Mrema.

Muungano wa Kanisa huu ndiyo maana Pengo povu linamtoka ovyo.
 
Allah awapige laana kumwita Fox ni mnafiki....

Ndio ni mnafiki sana...Yeye kutwa yupo hapa JF kuisifia CCM....Kwani huyo Lukuvi yupo upinzani??? Hapana ni mwana CCM safi...Anamwakilusha JK na Chama tukufu......

Leo mbona anainanga CCM na mwakilishi wake Lukuvi...???

Huo ndio unafiki wenyewe......Na bado
 

Faiza unanishangaza sana, hivi kweli wewe ulikuwa hujui hili siku zote? Kwa hiyo leo baada ya Lukuvi kusema hivyo kanisanai ndio umeshtuka?

CCM wanang'angania ZNZ kwa msalahi yao.. na kanisa.
 
Acha fitina zako.Lukuvi alikuwa wazi.Kasema alitumwa na Waziri Mkuu lakini hakupewa hotuba ya kusoma.alisema alivyoona vema.Kwa nini wewe hupingi kuingiza udini kwenye Serekali?Kwani Lukuvi ndie kiongozi wa kwanza kuzungumza kwenye nyumba za ibada?Hembu waulize hao wa ukawa wakuelimishe
 
Jibu hoja zangu, Jee, Lukuvi unamuweka kundi lipi? au na wewe una Islamophobia kama Lukuvi?

Na huu nduo unafiki wako...Unataka tumuongelee Lukuvi kivyake wakati Lukuvi amebeba mawazo na mtizamo wa Chama chako Tukufu CCM.......

Lukuvi hana tatizo, tatizo ni CCM...Labda tujadili hilo...
 
Hakuna tena maswala ya CCM hapa ni udini ndiyo unaongoza ligi mnapita makanisani kutangaza ufatani wenu.

Mfumo Kristo aliouacha Nyerere tutaakikisha tunapambana nao mpaka dakika za mwisho.

Wazanzibar pambaneni mvunje huu muungano wa Kanisa.
 
Last edited by a moderator:
Faiza unamaanisha wanaccm wote ni wakristo? mbona wewe ni muislam na wanaccm wenzio ndo vinara wa kupinga serikali tatu? Vita kawawa ni mkristo? wale wamama kibao wa zanzibar waliovaa hijab wanaopinga serikali tatu wakidai wabara wasiwasemee nao ni wakristo? kama ni udini zanzibar inaongoza,nitajie kiongozi yeyote mkristo anayetoka zanzibar,huo mfumo kristo mliokaririshwa ndio unawanyima uhuru wenu,viongozi wenu wanajua wanachokifanya,nyie mnakaria ushabiki na kuendeleza chuki dhidi ya ukristo.Subiri mkibaki peke yenu ndo mtajua kumbe uislam una shia na suni na kuanza kuuana kama pakstani na kashmir india.
 
Wewe nawe ni mwongo au unajikomba tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…