Faiza wewe uko mdini sana. Muda mwingine nakufatilia na nakusoma chuki zako kwa Nyerere na hata viongozi wake waandamizi.
Kwa taarifa yako Nyerere huo uhuru hakupata mwenywe,na hii nchi sio ya wakristo. Tena waislam walimsaidia sana Mwalimu katika kupata uhuru wa nchi na hata kufika mpaka hii leo.
Wewe ni mtu hatari sana katika jamii ya waafrica na watanzania kwa ujumla. Chumvi au mbegu unayopandikiza hapa haitakuacha, itakutafuna mpaka kaburini mwako na hata mpaka wewe na watoto wako naa wajukuu zako.
Kuna ubaya gani kutoleta hoja bila kuleta udini au kuzungumzia na kuukashifu ukristo??
Mimi nilikulia msasani. Majirani zangu asilimia tisini walikuwa waislam. Kipindi cha holy month of Ramadhan walikuwa wanatuleta daku au hata futari nasi tunawapa chochote kilichopo hata maji baridi bure barabarani wanpotoka msiktini.Sikuwahi kuona chuki wala kusikia neno,walisheherekwa pamoja nasi sikuku zao na sikuku zetu kwa pamoja.
Until lately watu kama nyinyi mashetani na yule gaidi serikali inamfunga sijui sheikh nani mnapanda chuki kwa watz.
Mimi nafanya kazi serikalini. Nachokuambia nyinyi mnabahati Dr KIkwete ni mtu mpole na mtaratibu. Baada ya 2015 leteni ujinga huu kutenganisha watz tutawasaka hadi makwenu.
Waambieni waliowatuma kwamba tutaenda mfumo wa jicho kwa jicho. Hamwezi kutuharibia nchi yetu kwa tofauti za kidini na kikabila. Hata siku moja.
Lukuvi hawakilishi wakristo wote wala serikali kwa ujumla. Yule mtu ni mjinga sijapata kuona. Na watu kama hawa wanaongea wanavyotaka hawajui madhara katika nchi ndio wanaleta shida.
Wewe kuleta hoja na kuunganisha mawazo yako serikali na mfumo wake nathani ni kupungukiwa fikra kama sio ugaidi ulionao ndan. Na kwa taarifa yako Tanzanja haiweze kuwa nchi ya kiislam wala ya wakristo. Utakufa wewe utaiacha na wajinga wenzako wote wenye hila za kigaidi.
The king.
Mkuu,
Umezungumza mangi mno dhidi ya Mkuu FaizaFoxy...nina hakika mwenyewe yupo hapa anakusoma na takupatia majawaba yako murua...kama akipata fursa na ikilazim!?
Kama weye unajikhis umo Serikalini kama unavyotujuza!?...sasa kwanini watumia lugha hiyo ya vitisho na dharau!?
Kwa context ya hiyo bayana yako ya kipuuzi...yaani unajaribu kutuaminisha yakua huyo Rais Kikwete "Boss wako", "udhaifu" na "ustaarabu" wake ndo chanzo cha haya matatizo unayodai yanafanzwa na akina "FaizaFoxy na genge" lake kama ulivyotuambia!?
Wee kweli ni mpuuzi na mnyama wa hali ya juu!...yaani unawatisha Wanajamvi hapa yakuwa utawasaka baada ya 2015!?...kwa uhakika upi uliokua nao na kwa vigezo vipi!? Embu tujulishe hapa hapa jamvini!?
Usituletee story zako za vijiweni hapa!
Sasa, mie binafsi nakuhakikishia yakua weye ni kiumbe mduchu mno kwenye hiyo system/serikali hapo nyumbani! Na walaa hizi siasa chafu/za kuchafuana sio level yako au game yako...asilan abadan!
Weye ni mtoto mduchu mno...katafute chandimu ukacheze na wanzio! Ebo!
Yaani unatuletea vitisho vya kitoto na ukosefu wa adab hapa jamvini,sio!?
Wee unajaribu kumshutumu vikali Mkuu FaizaFoxy yakua ati yakua yeye na "genge lake" wanahatarisha hiyo myth yenu ya "umoja na amani" hapo nchini!?...sasa weye mwenyewe umejisoma kwa makini huo uharo wako ulotuletea hapa!?
Kwa hiyo hayo ndo maoni au mtazamo wa baadhi ya nyinyi wafanyikazi wa serikali baada ya hiyo 2015!?
Sasa je unafahamu kiundani athari za matamko ya kiharamia kama hayo yako!?...khasa kama hao unaowashutumu wakiamua kuyachukulia serious, na labda nao kuamua kujiandaa ili kukabiliana na vitisho vyako vya kitoto!?...ambavyo ati unajaribu kutuaminisha yakua ndo msimamo wa wafanyikazi wenye madaraka ya juu serikalini sio!?
Embu tutajie weye unafanzia idara ipi huko serikalini!?...kama utasema kweli, basi nakuhakikishia japo leo ni w'end lakini kama una wadhifa wowote nyeti kama unavyojaribu kutuaminisha...basi, utaitwa leo hiihii ukajieleze kwa Boss wako yeyote hapo!?
Wacha nipate coffee hapa kiduchu, nitakurejea!
Ahsanta sana!