Hakuwa akichangia ila alikuwa akitoa taarifa. SWEEEEEEEELA.Hivi ile kanuni ya Muda dakika 10 imetenguliwa? naona Lukuvi anachangia nusu saa sasa
Ni Mgonjwa Anaelekea India amezuiliwa airport hili aje kujibu hoja nadhani, kazi kweli kweli Tanzania
Kingine naona anajiamini sanaaa, anadharau huyu mbaba, chiku abwao ajiandae amtoe huyu mbaba
Anaponda Uwamsho sasa kwa kuita karume na nyerere makafiri, sasa ni dakika ya 45 anatililika tuuuuuuu
Manyerere JacktonZaidi ya jwtz sioni nani atahakikisha tanzania inabaki kuwa nchi moja. Wanayofanya kule bungeni ni uhaini. Wanaiua tanzania hivi hivi.
DomhomeHivi ni Lukuvi yupi huyu anayeongelewa? au ni yule aliyenyang'anya mke wa mtu kule Mpwapwa?
JWTZ ni jeshi la wananchi wa Tanzania hivyo lipo pale kulinda maslahi ya wananchi ambao wao ndio wanaowalipa mishahara. Kama hivi sasa mishahara yao inapatikana kwanini isipatikane tukiwa na serikali TATU? Ikumbukwe kwamba matumizi ya serikali ya muungano yatatokana na bajeti itakayopitishwa na bunge lake likiwa na vyanzo mahususi vya mapato!! Luluvi na wote wanaotumia propaganda ya kuwatisha wananchi kuwa jeshi litachukua/pindua serikali iwapo kutakuwepo serikali TATU wajue kuwa wanawatukana wanajeshi wetu kuwa hawajui wajibu wao na vitendo hivi vya wakina Lukuvi ni vya kihaini!!!
Nimekusoma vyema kabisa huyu lukuvi anachochea vita acha serikali 3 ipite jeshi lichukue nchi kuliko kuibiwa na ccm.naunga mkono andiko lako limeshiba .Kwaresma njema
vita ya korea chanzo chake si serikali tatubali ni kuwa nchi hizo zili ongozwa na viongozi wenye malengo tofauti,mlengo wa kushotona mlengo wa kuliayaani ukoministi vs ubepari, sawa sawa na ilivyokuwa ujerumani mashariki na magharibiina bidiaende tena kusoma historia na siasaAnazidi kusisitiza kuwa Serikali tatu zitasabbisha vita na hakuna atakayemzuia kuamini
na kusema hivyo, hayo yametokea kati ya Korea kusini na kaskazini hivyo Zanzibar na Tanganyika
itakuwa vivyo hivyo.
Nimekusoma kamanda, na wewe Pasaka njema!
yaani wanataka tuchapane wenyewe tu wao wakikaa kimya... hawa jamaa nyambafu kabisa!Wamemnyanyapaa Sheikh Farid na kumsweka rumande kwa kumsingizia ni mchochezi, leo wao wanakwenda hadi makanisani kutuchonganisha kwa propaganda zao. Kwakweli mh. Lipumba kuwabatiza jina la Interahamwe hakukosea.
Hivi hii kauli kuwa ukiwa na sijui mke mmoja ama wake wawili inatumiwa sana na watawala ndani ya CCM wakati wanazungumzia masuala ya muungano. Ni vyema wakaweka wazi kwenye huo muungano nani mume na mke ni yupi kati ya TANGANYIKA na ZANZIBAR vinginevyo huu ni upotoshaji na zaidi utakuwa ni udhalilishaji wa nchi hizi mbili zinazounda muungano uliojaa utata.
Lukuvi kabwabwaja, hajasema alichokituhumu Lipumba.
Lukuvi kabwabwaja, hajasema alichokituhumu Lipumba.