Lulu hakumuua Kanumba, toka mahabusu Mpaka Mfungwa wa nje!

Miaka hii kulea watoto inahitaji commitment ya Hali ya juu sana, wazazi nao wamekua bize ule ukaribu na watoto wao umepungua Sana miaka sisi tunakua ilikua nadra kuskia matukio ya ajabu kuwakumba watoto...hata focus ya malezi ilikua kwa mtoto wa kike zaidi ila miaka hii ukizingua kidogo ushaharibu pakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…