Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Jamaa mshamba yule muha
A real man hajisifu hadharani kuchakata, anakula tu kimya kimya wadada wenyewe ndio watatangaza.

Nadhani ni kweli sababu kama ustaa alikiba aliupata kabla ya diamond so ata kuwa kala mbunye nyingi sana
 
kumbe una ubuyu tangu siku nyingi afu hutaki kutuhabarisha
 
Kwani hukuona mpaka mtu alifukuzwa kazi hadharani nchi ikishuhudia kwa kuambiwa anatoka na wake za watu japo ameonywa mara nyingi hasikii?

Nyie wastaafu kama bado mnayapenda maisha yenu endeleeni kucheza na wajukuu tu, huku kwetu sio salama kwa afya zenu.
 
Nakumbuka ile case, wastaafu tunapenda dogodogo japo hatuna nguvu za kimwili.

Tunaishia kuwatolea bastola Vijana ili watuachie mali zetu 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
yan sio siri halaf mnapendaga sana dogodogo size ya wajukuu zenu kama umeamua hivo hongera kwa uzima wa afya yako na pesa zako
Kwa kweli Mkuu japo dogodogo hupendelea vile walivyo wanyumbulifu kwa bed

Ukishtuka pension yote imeishia kumjengea nyumba na ki-babe walker 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…