Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Anamaanisha wanapakuana mkuu
 
Broo mimi namtaka huyo demu kwa dau lisilozidi milion 5
 
Duuh.. Hii ya madam Rita ndio naipata [emoji848]
 
Usinambie hebu tupe zaidi basiiii
 
Seems unaagizaga sana mizigo kutoka Chinaa
 
Nifah atawafikishia ujumbe kuwa huduma zao ni mbovu. Pia uende hata kwenye dm ya mange anaweza kuwafikishia ujumbe, ili waboreshe huduma zao 🀣
Ila hili ni tatizo la mabinti wengi miaka hii

Mwakani nataka kufungua Chuo kwaajili ya kuwafundisha mabinti na Wanawake ili wa-acquire knowledge kidogo iwasaidie kwenye ndoa zao.

Nitaajiri Wakufunzi kutoka Comoro, Mauritians, Tabora, Mtwara, Lindi, Pwani na Morogoro.

Nataka binti aki-graduate awe Fundi haswa kwa Mumewe 😜
 
πŸ™ fanya hivyo mzee. tumepigwa sana na hawa matapeli
 
Mafunzo yatakuwa ni theory au practical? Je mitihani itakuwaje? Mtaala wa ufudishaji utakuwaje? Je patakuwa na wanaume wa majaribio? Au midoli ya majaribio? 🀣🀣🀣


Una kitu, unaweza kufika mbali.
 
Me ntakuwa muhasibu wa chuo 😊
 
Mafunzo yatakuwa ni theory au practical? Je mitihani itakuwaje? Mtaala wa ufudishaji utakuwaje? Je patakuwa na wanaume wa majaribio? Au midoli ya majaribio? 🀣🀣🀣


Una kitu, unaweza kufika mbali.
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo πŸ€—
 
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo πŸ€—
dah kweli yajayo yanafurahisha.mtu unatoa mkwanja unampa ke kama kifuta jasho after mechi
cha ajabu unakuta mweupe hana ujuzi kabisa,hajui kunyonya lolpop, kiuno kigumu,hajui kupiga vibaiskeli
kabisa yani.............anzisha chuo mzee wetu
 
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo πŸ€—
🀣
Tafatilia. Wadau wanasema wanakutana na magogo, makaravati, majabali na milima. Wazito kama kilo milioni hivi. Yaani Paja kubwa zito kama mfuko wa simenti 🀣🀣 na hilo ni paja moja tu linakuwa zito hivyo 🀣🀣🀣 ukijumlisha na kulewa ni gogo pro max. Kiuno kigumu cha zege 🀣🀣
 
dah kweli yajayo yanafurahisha.mtu unatoa mkwanja unampa ke kama kifuta jasho after mechi
cha ajabu unakuta mweupe hana ujuzi kabisa,hajui kunyonya lolpop, kiuno kigumu,hajui kupiga vibaiskeli
kabisa yani.............anzisha chuo mzee wetu
Timu ya Wataalamu wangu wako wanafatilia Vibali Nacte na Wizarani huko.

Hopefully malalamiko yataenda kuisha baada ya kutoa graduates wa kwanza baada ya miezi 3 ya mafunzo

Lazima Value for Money ionekane Kaka πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…