Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

nimeshindwa kufungua hii code! ni mchezo gani huo king kiba anaoucheza?
Anamaanisha wanapakuana mkuu
 
Kama anahela aseme Vijana wampe connection.

Uzuri wake ukiwa na hela, anaweza kukufuata mahali ulipo.

Miaka miwili nyuma dau la Uwoya ilikuwa 1.5M sijui kwasasa, Japo mwanzoni mwa mwaka huu nilipanda naye ndege akitokea kumpelekea Tunda jamaa mmoja Mchimbaji wa Dhahabu sehemu fulani.
Broo mimi namtaka huyo demu kwa dau lisilozidi milion 5
 
Wenye mji wenu.

Ila kwa Lulu...... tokea zamani tu watu wanakibutua tokea akiwa Perfect Vision.

Ila hizi ndoa hizi watu wanachekeana kwenye Social Networks ila ndani kunafukuta.

Kiba mzee wa vitonga/kulelewa,Madam Rita kamlea wee mpaka alisahahu kazi yake ya mziki, so now yupo kwa Lulu kimya kimya.
Duuh.. Hii ya madam Rita ndio naipata [emoji848]
 
Hahahaha.................Ningeambiwa niwape seminar Wanawake na Mabinti, ni kuwa Muda wanaoutumia Saluni bora wautumie kujifunza Kumridhisha Mwanaume.

Imagine unakutana na demu mkali alafu hata Kutuma salamu hajui, usipokuwa makini anaweza kuondoka na kilungu cha gia.

Akiwa kwa bed hata kiuno hajui kunyonga ila sasa unakuta ana sura kali, tako kama la Sanchoka alafu rangi ni ile kutoka Dubai.

Mwanaume unabaki Kujilaumu kutwa kucha 🙌
Usinambie hebu tupe zaidi basiiii
 
Hahahaha.................Ningeambiwa niwape seminar Wanawake na Mabinti, ni kuwa Muda wanaoutumia Saluni bora wautumie kujifunza Kumridhisha Mwanaume.

Imagine unakutana na demu mkali alafu hata Kutuma salamu hajui, usipokuwa makini anaweza kuondoka na kilungu cha gia.

Akiwa kwa bed hata kiuno hajui kunyonga ila sasa unakuta ana sura kali, tako kama la Sanchoka alafu rangi ni ile kutoka Dubai.

Mwanaume unabaki Kujilaumu kutwa kucha 🙌
Seems unaagizaga sana mizigo kutoka Chinaa
 
Nifah atawafikishia ujumbe kuwa huduma zao ni mbovu. Pia uende hata kwenye dm ya mange anaweza kuwafikishia ujumbe, ili waboreshe huduma zao 🤣
Ila hili ni tatizo la mabinti wengi miaka hii

Mwakani nataka kufungua Chuo kwaajili ya kuwafundisha mabinti na Wanawake ili wa-acquire knowledge kidogo iwasaidie kwenye ndoa zao.

Nitaajiri Wakufunzi kutoka Comoro, Mauritians, Tabora, Mtwara, Lindi, Pwani na Morogoro.

Nataka binti aki-graduate awe Fundi haswa kwa Mumewe 😜
 
Ila hili ni tatizo la mabinti wengi miaka hii

Mwakani nataka kufungua Chuo kwaajili ya kuwafundisha mabinti na Wanawake ili wa-acquire knowledge kidogo iwasaidie kwenye ndoa zao.

Nitaajiri Wakufunzi kutoka Comoro, Mauritians, Tabora, Mtwara, Lindi, Pwani na Morogoro.

Nataka binti aki-graduate awe Fundi haswa kwa Mumewe 😜
🙏 fanya hivyo mzee. tumepigwa sana na hawa matapeli
 
Ila hili ni tatizo la mabinti wengi miaka hii

Mwakani nataka kufungua Chuo kwaajili ya kuwafundisha mabinti na Wanawake ili wa-acquire knowledge kidogo iwasaidie kwenye ndoa zao.

Nitaajiri Wakufunzi kutoka Comoro, Mauritians, Tabora, Mtwara, Lindi, Pwani na Morogoro.

Nataka binti aki-graduate awe Fundi haswa kwa Mumewe 😜
Mafunzo yatakuwa ni theory au practical? Je mitihani itakuwaje? Mtaala wa ufudishaji utakuwaje? Je patakuwa na wanaume wa majaribio? Au midoli ya majaribio? 🤣🤣🤣


Una kitu, unaweza kufika mbali.
 
Ila hili ni tatizo la mabinti wengi miaka hii

Mwakani nataka kufungua Chuo kwaajili ya kuwafundisha mabinti na Wanawake ili wa-acquire knowledge kidogo iwasaidie kwenye ndoa zao.

Nitaajiri Wakufunzi kutoka Comoro, Mauritians, Tabora, Mtwara, Lindi, Pwani na Morogoro.

Nataka binti aki-graduate awe Fundi haswa kwa Mumewe 😜
Me ntakuwa muhasibu wa chuo 😊
 
Mafunzo yatakuwa ni theory au practical? Je mitihani itakuwaje? Mtaala wa ufudishaji utakuwaje? Je patakuwa na wanaume wa majaribio? Au midoli ya majaribio? 🤣🤣🤣


Una kitu, unaweza kufika mbali.
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo 🤗
 
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo 🤗
dah kweli yajayo yanafurahisha.mtu unatoa mkwanja unampa ke kama kifuta jasho after mechi
cha ajabu unakuta mweupe hana ujuzi kabisa,hajui kunyonya lolpop, kiuno kigumu,hajui kupiga vibaiskeli
kabisa yani.............anzisha chuo mzee wetu
 
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo 🤗
🤣
Tafatilia. Wadau wanasema wanakutana na magogo, makaravati, majabali na milima. Wazito kama kilo milioni hivi. Yaani Paja kubwa zito kama mfuko wa simenti 🤣🤣 na hilo ni paja moja tu linakuwa zito hivyo 🤣🤣🤣 ukijumlisha na kulewa ni gogo pro max. Kiuno kigumu cha zege 🤣🤣
 
dah kweli yajayo yanafurahisha.mtu unatoa mkwanja unampa ke kama kifuta jasho after mechi
cha ajabu unakuta mweupe hana ujuzi kabisa,hajui kunyonya lolpop, kiuno kigumu,hajui kupiga vibaiskeli
kabisa yani.............anzisha chuo mzee wetu
Timu ya Wataalamu wangu wako wanafatilia Vibali Nacte na Wizarani huko.

Hopefully malalamiko yataenda kuisha baada ya kutoa graduates wa kwanza baada ya miezi 3 ya mafunzo

Lazima Value for Money ionekane Kaka 🤗
 
Back
Top Bottom