Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

mijegeje yote iliyojaa dunian mwanamke mwenzangu ana utam gani? kuna watu kwaMungu watakua ndio petroli
 
Kuna utafiti wambea tutaishi maisha marefu, watuache kwakweli.
 
Hamna lolote kujiendekeza tu!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Yes, hata mimi nimewahi kusikia na kwa Ali pia nasikia sio haba. Huenda ndio maana hawaachani πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pole Shemeji
 
Leo umechachukaaaaa 🀣🀣🀣
 
Halafu wanapata bahati wanaletewa hapa kwa uwazi sababu huku tunatumia ID fake wanaleta ujuaji!

Haya hata Mange hawezi kusema japo anajua sababu ya ushkaji wake na Ali Kiba.
 
Na ritha tena......mkuu hii mi kwangu ngumu kumesa bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…