Ni kweli usemacho but 2M just kwa 3 shots I can't, labda kama ingekuwa 3 to 5 days mmejifungia sehemu analipia gharama ya hela zako hapo sawa πwakat wewe unasubiri achuje kuna wenzio wana risk it all haijalishi dau kias gan ndio hao kina kiba wamedata
Ndio hivyo baada ya hapo Hemed akampokea kijiti......... Bi Mkubwa anapenda damu changa.Na ritha tena......mkuu hii mi kwangu ngumu kumesa bhana
Tanzania hapana kwa kweliNdio hivyo baada ya hapo Hemed akampokea kijiti......... Bi Mkubwa anapenda damu changa.
HahahahaMpaka Shemeji yako huwa haamini kama natokea Arusha kwa jinsi nilivyo ππ
Sina ununda wowote, niko vyedi.
Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.Mkuu umenisoma kwa umakini lakini? Hizo pipo hakuna cha kuziachanisha!
Ni penzi la milele, yani mmoja wapo au wote wakiondoka duniani.
Niamini, wanapendana sana.
[emoji28][emoji28]Elizabeth Michael and two others ( Salama Jabir@ Ali Kiba) versus Nifah and Jamii Forums Media.
In the Resident Magistrate Court of Dar Es Salaam at Kisutu.
Kila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
Watakuwa wapumbavu wote, wanaachanaje sababu ya maandishi ya umbea tena kutoka kwa watu wasiyemjua?Dada Nifah ina wezekana unacho sema kina ukweli, lkn anglia madhara yanayo wezakutokea baada ya maandishi yako haya.
Mfano hawa watu wana watoto na wakatengana kwasababu tu ya haya maandishi yako, utajisikiaje?
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.Halafu wanapata bahati wanaletewa hapa kwa uwazi sababu huku tunatumia ID fake wanaleta ujuaji!
Haya hata Mange hawezi kusema japo anajua sababu ya ushkaji wake na Ali Kiba.
Inaweza kuwa wewe ndio umetengeneza base ya kuazisha uchunguziWatakuwa wapumbavu wote, wanaachanaje sababu ya maandishi ya umbea tena kutoka kwa watu wasiyemjua?
Huu ni umbea tu, nothing serious kama wanajielewa.
Lucas ana watu wake pia, wanamhitaji!
Ndugu yetu Lucas mwashambwa angekuwa analeta japo habari kama hizi ili sisi wa enzi ya Mwalimu tuweze kujua mambo ya wajukuu zetu, angekuwa na faida humu jukwaani.
Usisahau kunipa kadiMpaka Shemeji yako huwa haamini kama natokea Arusha kwa jinsi nilivyo ππ
Sina ununda wowote, niko vyedi.
Hata wewe ni mpuuzi ndo maana uko hapa kwenye ukurasa wa kipuuzi kusoma uzi na comments za kipuuzi.SAWA MPUUZI, NIMEKUELEWA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue