Lucas ana watu wake pia, wanamhitaji!
π€£π€£π€£
sasa 3 to 5 days majizo atamuaga anaenda wapi?Ni kweli usemacho but 2M just kwa 3 shots I can't, labda kama ingekuwa 3 to 5 days mmejifungia sehemu analipia gharama ya hela zako hapo sawa π
jamani hapana alieumba hivo viunganisho ndio anajua zaidi vinginevyo tungekua sote wanaume au sote wanawake tuKwakweli sijawahi kuelewa! Mtu anafanana na mimi kila kitu atanivutia kwa kipi?
Ila wenyewe wanavyojisifu, ati mwanamke anamjua mwanamke mwenzie zaidi! Ukionja hutokaa uache!
Ujinga mtupu!
2M kwaajili ya kununua Gridi ya Taifa !!! Bora usitoe tu mzee wetu tutakufukia mapemaUwoya kwa 700k naweza mmudu.
Ila Lulu niliambiwa bila 2M hawezi kupatikana
Lahaula !!!! Kweli waliosema Siku moja Dar itakumbwa na mafuriko hawakukosea ni suala la muda tuTena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Si anaaga anaenda kufanya shopping hata hapo Nairobi, mnakaa zenu siku 3 ama 4 then anarudi zake kutumikia Ndoasasa 3 to 5 days majizo atamuaga anaenda wapi?
labdaSi anaaga anaenda kufanya shopping hata hapo Nairobi, mnakaa zenu siku 3 ama 4 then anarudi zake kutumia Ndoa
Ndio maana nikasema niliyoandika sio mapya kwa watoto wa mjini/wambea.KIPINDI NIPO MITAA FLANI YA MIKOCHENI,,,LULU NA DEMU FLAN HV VIDEO VIXEN ANAITWA HUSNA WALIKUA WANANGU SANA.......ILA KUNA SIKU NIPO MITAA YA MAGOMENI KWA BIBI YAKE NA HUSNA,,,LULU AKAJA NAVIDEO VIXEN MMOJA ANAITWA WOLPER WAKAANZISHA BONGE LA VURUGU DHIDI YA HUSNA AFU BARABARANI KISA WANAMGOMBEA ALI KIBAπ€£π€£π€£.
Sasa watu pale barabarani wakajua ninagombaniwa mimi,,,ikabidi nikodi tax nikimbie maana watu walikua wanacheka na kunisifia mimi kidume π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
NB: Kipindi hicho lulu hakua
maarufu sana ila alikua hakatai skendo za kusagana na huyo demu wolper.....lilikua group wanasagana kwa zamu na walikua vibinti vidogo ila daily maisha club na club bilicanas.
Hahaha............bora Mkuu unatujali Wazee.2M kwaajili ya kununua Gridi ya Taifa !!! Bora usitoe tu mzee wetu tutakufukia mapema
KabeeesaWatu na stress zao za maisha Mkuu.
Hata kama, wala sijali ikiwa mwanaume wangu ananiona mzuri inatosha π€£π€£
Mkuu haya mambo huwa hufuatilii? Mbona sio jipya hili? Kuna kipindi amewahi kupost kabisa akiwa hotelini huku mwanamke yuko kitandani na lingerie.Kila nikijaribu kuizoom sura ya salama kwenye ubongo wangu, basi hii taarifa ya kwamba anasagana hua inagoma kabisa kuingia akilini[emoji849]
Basi huyo ameshindikana, mara nyingi sisi Wanaume huwa tunazuzuliwa na ufundi.....kwahiyo ukikutana na fundi ndiyo unatia nanga Kigoma mwisho wa reli π€Mbona mumewe anacheat daily? Tena huyo ni vile maarufu, ila huku mitaani kawaida sana.
Mason π!Mason wabaya sana...
Halafu kanavyohangaikaga kwenye makanisa sasa
Wala hakuna la ajabu analofanya binti wa watu, umaarufu tu unamponza!Mmhh hatar hii weka mbal aisee.. kusagana yeye... kutatuliwa marinda yeye... umalaya yeye.. huyu mtu sasa ana pride gan kwenye maisha yake? Hiv hata akikaa kujaribu kujipima nafsin as how worthy is she anapata jibu gani? Kuna kip cha thaman alichonacho cha kujivunia utu wake sasa kwa hatua hiyo aliyo fikia????
Maana kama ni chemical reaction, yeye ana fall as irreversible one..
Poor girl.. she is a dead living. Nimemuonea huruma sana. Yan hana thaman hata ukimlinganisha na mwajuma ndala ndefu anayepambana na life yake ki bishi huku uswahili
Ebhanaeeee π₯Ndio hivyo baada ya hapo Hemed akampokea kijiti......... Bi Mkubwa anapenda damu changa.