Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Masikini baba yangu umepitia maisha magumu sana!
Pole…

Usijaribu sasa hivi maana utakutana na mabalaa pension itaisha yote!
 
Ohooooooooo 🔥
 
Mpe mtaji Nifah atuletee mambo kama ya tmz bongo 😄
 
Ali nadhani ndiyo mambo yake hayo anakula kimya kimya ukimuangalia usoni so innocent
Mi shabiki yake leo nimejikaza sana kumuandika, ingekuwa sivyo mbona ana mengi tu?
Tena mengine naona kabisa kwa macho yangu maana huwa naonana nae mara nyingi.

Basi tu hanaga shida na mtu kaka wa watu zaidi ya ‘kuchakata’ basi!
 
Hatari sana!
 
Mi shabiki yake leo nimejikaza sana kumuandika, ingekuwa sivyo mbona ana mengi tu?
Tena mengine naona kabisa kwa macho yangu maana huwa naonana nae mara nyingi.

Basi tu hanaga shida na mtu kaka wa watu zaidi ya ‘kuchakata’ basi!
Kwahiyo yeye anachakata kimya kimya then anaenda msikitini?
Hebu nipe hata watatu aliowachakata?
Uzuri ni mtoto wa kariakoo yule
 
Halafu kama nimeshamjua hiviiiii?
Yule mtoto chotara lakini mbona anafanana sana na marehemu baba yake huyo dada?
Kama ni yeye lakini… Huwa najiuliza sana!
 
Bongo hii ni kujitakia shida tu Mkuu.

Mimi naandika tu bure atakayeamini sawa, asiyeamini shida zake mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…