Ila na ww, picha hamna kabisa,, umeandika utafikiri unawaona!Hakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama mzee Mangula na Dr Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Picha zinakuja bwashee!
Hahaa nyumbu wamehamisha goli. Sasa hivi wamevaa habari ya Zitto kukutana na Nancy Pelosi. Kwao wanaona ni jambo la ajabu sana.Picha zinakuja bwashee!
Hakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Lumumba pamekuwa White House DodomaHakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Hakuongea kwa niaba ya chama!Mmewapigia Magoti
Vipi kuhusu Maneno ya Polepole kuhusu Makontena.
Mkuu,Hakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Shemeji yako huyo anamkula dada yakoPicha zinakuja bwashee!
Mkuu hata hujui story zao walienda kupigia ofisi ipi? Kweli wewe ni "Bwashee"Hakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Mmoja yupo kwenye gari na mwingine kaingia ndani na wote wametupa mashati ya CCM. Halafu kamati gani ya maadili ya watu wanne? Walikuwa na mishemishe zao naona wakaamua kupitia hapo kunywa kahawa ila kimsingi mumefeli kwenye hii movie.