jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Miaka hiyo nasikia walikusanywa tutsi kutokea nchi zote Africa mashariki warudi kupigania nchi yao mwanzoni mwa 90's, vijana wakajiunga na rpf wakapambana na kushinda vita 94, sasa baada ya vita mbona hatuoni vijana waliotokea bongo wakitoboa? Waliishia kuwa wa kawaida tu je ni elimu hawakuwa nayo uweledi au walibaniwa?Waliopigana vita kutokea Tanzania wengi ni warundi na walidaka vyeo kwao, kwa Rwanda wengi ni crew ya kutoka pori la uganda waliokua na museveni,
Mchango kua mdogo huo Ni kweli,watutsi kutoka Uganda na Burundi ndio walitoa wapiganaji wengi Kwny RPA.Nadhani hata ratio ya Tutsi wengi waliohamia Rwanda baada ya 1994 walitokea huko huko Uganda na Rwanda kulinganisha na bongo.Ukweli ni kwamba namba ya wabongo waliotoboa ni ndogo mno ukilinganisha na wa ug ama burundi pengine labda waliotokea bongo hawakuwa na elimu au exposure kama hao waliotokea mataifa jirani au pia labda mchango wa wabongo ulikuwa mdogo sana na wanastahili walichopata
Mchango wao uliokuwa mdogo ni wa nguvu kazi au mali? Ni walikuwa wachoyo wa kutoa mali zao au walibania watoto wao wasijiunge na jeshi kupigania nchi yao?Mchango kua mdogo huo Ni kweli,watutsi kutoka Uganda na Burundi ndio walitoa wapiganaji wengi Kwny RPA.Nadhani hata ratio ya Tutsi wengi waliohamia Rwanda walitokea huko huko Uganda na Rwanda kulinganisha na bongo.
Mchango wa kijeshi.Mchango wao uliokuwa mdogo ni wa nguvu kazi au mali? Ni walikuwa wachoyo wa kutoa mali zao au walibania watoto wao wasijiunge na jeshi kupigania nchi yao?
Watusi waliokulia tz waliishia kuwa wakulima na wafugaji, nasikia wanapenda ngono na pombe hivyo hawako focused hawawezi pewa nyazifa kubwa wakazimudu maana wamekaa kizembe na shule hamna au ni maneno ya kuwabania tu?Mchango wa kijeshi.
Lkn Pia PK amekulia Uganda wkt Janet Kagame amekulia Burundi so watakaobebwa hapo wanajulikana watatokea wapi.
Kwa mfano kwny jeshi lao Kuna kipindi top brass ya jeshi walienjoy waliokulia Congo wakina Gen. James Kabarebe,then kuna zamu walienjoy waliokulia Uganda wakina Gen. Nyamwasa,Kayonga,Nyamvumba na Sasa Ni zamu ya waliokulia Burundi wakina Gen. Kazura.
So far hata Mimi sijaona Kama kuna boss yoyote wa jeshi lao aliyetokea/kukulia Tz lkn nchi nyingine karibu zote za E/Africa yaani Burundi, Uganda,Congo zimeshatoa mkuu wa majeshi huko Rwanda.
😄😄 aisee labda inawezekana mkuu.Watusi waliokulia tz waliishia kuwa wakulima na wafugaji, nasikia wanapenda ngono na pombe hivyo hawako focused hawawezi pewa nyazifa kubwa wakazimudu maana wamekaa kizembe na shule hamna au ni maneno ya kuwabania tu?
😄😄 Wakata mauno na Vita wapi na wapi.Hii vita aliyoichokoza kagame kwa DRC naombea mungu congo ashambulie mapema sana.Hii itakuwa kama kumsukuma tu mlevi kiuchonganishi maana wahutu watammaliza mapema sana kagame mungu ni mwema
Aliuliwaje
Sasa hapa mambo ni mengi huyu alikuaga mtu wa club sana na kuhang, kwao kwa wazazi wake alikua anaishi yeye pale ikasemekana alienda club akarudishwa na watu sita akiwa amelewa sana houseboy akaelezwa amelewa ataamka asubuhi aachwe alale, lakini alikua na majeraha kiasi kumbe ile wale watu walileta maiti tu walishamuua huko huko, wengine wakasema alinyongwa na houseboy wao ambae baadae alitoroka hadi leo hajulikani alienda wapi watu wakasema labda alitoroshwa ili asiseme aliona nini, wengine wanasema walimfuata kwao wakanyonga huku house boy akiwa ametekwa then wakaondoka zao mambo yalikua mengi sana
Nchi Kama hizi ndio Chadema wanatakiwa waende sasa wakademke huko waone Moto.
Mambo Ni Yale Yale tu,CHADEMA kukiwa na Mzee mtei akamuachia chama mkwewe Mbowe.Mbowe nae akampa Ubunge wa viti maalum mchepuko wake J. Mukya,huku Mzee Ndesamburo nae binti yake Lucy owenya nae akipewa ubunge wa viti maalum,Lissu dada yake Christina Lissu nae viti maalum.
CCM Kuna wakina JR kibao January,Ridhiwani,Nape etc
Acha mboyoyo nyingi.Mnaokoyeza mambo ilimradi tu kuifanya CHADEMA ionekane mbaya. Nakumbuka kipindi Chadema wanachagua Mbowe kwa Mara ya kwanza kura zilipigwa kimajimbo, yani primaries. Sasa najiuliza ilikuwaje Mbowe akarithishwa uenyekiti kwa staili hiyo?. Tuache uongo.
Mnaokoyeza mambo ilimradi tu kuifanya CHADEMA ionekane mbaya. Nakumbuka kipindi Chadema wanachagua Mbowe kwa Mara ya kwanza kura zilipigwa kimajimbo, yani primaries. Sasa najiuliza ilikuwaje Mbowe akarithishwa uenyekiti kwa staili hiyo?. Tuache uongo.
Acha mboyoyo nyingi.
Katika maelezo yangu hapo juu wapi nimedanganya?
Na yule wa uganda nae anataka awe mkuu wa majeshi ya Africa mashariki. Ukisikia power monger ndo hao sasa
Wengi walikufa kwa ngoma sababu ya kuendekeza ngono na pombe, wabongo kwenye starehe ngumu kujizuia😆😆😄😄 aisee labda inawezekana mkuu.
Kinyankole na kihaya ni 90% same....Halafu ukumbuke watutsi wao walitokea tu Rwanda na Burundi huku majority ya waha wakitembea kutoka Bunyoro na nyankole uganda ndio wakawapitia wengine rwanda na burundi na wengine wakabaki ngara yaani wale wahangaza ni koo kwa waha na wanaongea lugha moja pia na kuelewana pamoja na wanyankole nao wakiongea wanaelewana na watu karibu wa Rwanda, Burundi, Ngara, Kigoma hasa Kibondo na kule kasulu, hivo number na uchache wao viliwazuia kuanzisha nchi nyingine kule kigoma wakamezwa wakawa wapole