M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi

Hendry Kileo kugombea ubunge jimbo LA mwanga 2015 kila lakheri kileo
Nadhani ni vyema vijana kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali ila kama njia kama hii ya kutumia mitutu kutaka kufupisha safari za wengine ni jambo la hatari sana.
 


nilitegemea mpiga picha kuwa muwazi kwa kupiga picha namba ya gari walau picha moja kwa mbele.

Napata ukakasi wa taarifa hii
 
Hendry kileo sialishaa tangaza nia mwanga ambapo tukio limetokea
 
ina maana hizo picha haujaziona ama..??? tumia kichwa sio ukitumwa kuandika unakuja spidi na kuandika bila mpangilio..kwanza hapa haijatajwa chadema mbona mnajishuku..au mmehusika..??


kwanini uwazi haupo kutuweka wazi walau picha moja kuonesha usajiri wa gari? Lengo kama kunamwenyekuweza kufatilia na kuthibÍtisha, isijekuwa watu wamechukuwa picha kwenye gari iliyopata majanga mengine na mahala tofauti
 
Mmebakisha mkakati wa kumuuwa Zitto na kusingizia Chadema
 
Pole zao,ila Kama Daniel Zenda ni yule niliyesoma naye Udom basi nazidi kuamini kuwa CCM imeshakosa wanasiasa na viongozi pia.Kumbe hata kuwatafutia waheshimiwa viburudisho unaweza kupewa cheo?
 
CCM siku zote wakizidiwa haya ndo matendo yao ili mikutano ya kisiasa ipigwe marufuku kama ilivyo Lindi na Mtwara. Haiwezekani hao kama sio CCM wasijulikane kwani CCM iko kila mahali. Hii ni janja ya nyani........indi bichi
 
Mbinu chafu ya ccm kuendesha siasa kihuni wajipiga risasi wenyewe halafu wadai ni wapinzani.
 

Acha kuharibu ushahidi dada Salome, hakuna mtu asiyejua kuwa hiyo ni vita ya ndani ya chama. Chadema inatishwa na hao viroboto? Jogoo hafi kwa utitiri wala sio sera ya Chadema kuwashambulia wanao wapinga. Hizo ni sera zenu huko, mara kuwamwagia watu tindi kali na kuwapeleka hospitali ili mtembeze ka mdoli. Mara muwatoboe macho ili mpate huruma za wasikilizaji. Poleni sana ila msipoteze uchunguzi kikulacho ki nguoni mwako. Mmetoka sera ya kutoboa macho sasa mmeingia ya risasi za moto! Kaazi kwel
 
Hayo ni matokeo ya Makundi ccm mwanga.
Kuna kundi kutoka ugweno na kundi Mwanga na kundi Tambarare kila kundi lina mtu wao kumrithi magembe.
 
Haaa..nlipita jana nikakuta hiyo issue..kuna sehemu kuna Humps karibu na chuo cha Veta pale Kisangara..Duuhh..pole yao..huyu mmoja c ndo mmiliki wa Mabasi ya Kirumo..???
 
Chadema hawakwepi hili suala hata wafanye vipi hii tabia ya kipumbavu sana.
Kwa akili za matope kama hizi wahalifu hawezi kupatikana.

hawa vijana walijipiga wenyewe, au kama ni wahalifu wana huruma.
kulenga kioo cha nyuma manake walitaka asiumie mtu,
au kupunguza hasara kwa kuwa kioo cha nyuma elf 50 wakati cha mbele laki tatu.

hawa lazima walijipiga.....
 
huenda tatizo ni mke wa mtu....maana hawa vijana..ni kama copy ya mwigulu.
yaani we chalii hamnazo aisee..,mtu anafikwa na tukio very serious like this then mijitu mingine inaleta hoja za kipumbavu.
 
Ccm mumebakiza sera yakujichoma Moto tu mkibahatisha kuhulumiwa nawananchi maana hiyo nanyingine nyingi tumeona mumetekeleza kwenye operation tokomeza
 
Huo ni utapeli wa kisisasa! kauli mbiu yenu “..CCM Mwanga Ukimya sasa Basi..” mnataka kuhadaa jamii kwamba mumeshambuliwa kumbe ni nyinyi wenyewe mumepanga mipango ya kiipuuzi.Watanzania wa leo yatupasa kuelewa na sio kudanganywa tena.Hata nini vijana munaanza kujifunza kufanya mambo ya hila? Taifa hili linakwenda wapi?


 
kikwete ni mtu mmoja mbaya sana nina uhakika lazima atakwenda the hague haisezekani anaendesha nchi na chama kimafia huyu mzee ni mtu hatari sana
 

imekuaje kwenye hiyo Orodha Hayati Chacha Zakayo Wangwe Hayupo ? au kwa kuwa wananchi wa Tarime walishachukua Hatua yakurudisha Jimbo kwa Chama cha Mapinduzi ili kuepuka Vifo visivyo vya Lazima vya Wabunge wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…