Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.Sasa mnashangaa nini na mwenye nchi ashasema wanaCCM waache unyonge?Kilichotokea ni pale ambapo pambe zote mbili wanaondoa unyonge!
Na wale wanaosema wazisubiri mamlaka husika,kwani hizo nazo sio taasisi za CCM zilizotakiwa kuondoa ungonge?
Tunakoelekea sasa nafikiri VITA inayochochewa na wanasiasa walioshika madaraka inanukia!!
Pole zao,ila Kama Daniel Zenda ni yule niliyesoma naye Udom basi nazidi kuamini kuwa CCM imeshakosa wanasiasa na viongozi pia.Kumbe hata kuwatafutia waheshimiwa viburudisho unaweza kupewa cheo?
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.
hawa vijana walijipiga wenyewe, au kama ni wahalifu wana huruma.
kulenga kioo cha nyuma manake walitaka asiumie mtu,
au kupunguza hasara kwa kuwa kioo cha nyuma elf 50 wakati cha mbele laki tatu.
hawa lazima walijipiga.....
Ccm mumebakiza sera yakujichoma Moto tu mkibahatisha kuhulumiwa nawananchi maana hiyo nanyingine nyingi tumeona mumetekeleza kwenye operation tokomeza
Nafikiri labda hauendi na matukio kuhusu Chacha Wangwe nafikiri mtuhumiwa aliisha shitakiwa na hukumu ilitolewa ingawa kiuhalisia Kifi cha Chacha Wangwe kilikuwa na Utata na kinachothibitika ni kuwa alikuwa na Hoja Binafsi juu ya Daud Balali na ilitakiwa aiwasilishe Bungeni baada ya kurudi kutoka safari yake ya DSM lakini mauti yakamkuta na Hoja ikawa imeishia hapo. Fununu ya kilichokuwepo kwenye hoja hiyo ni kuwa yeye Chacha Wange alikuwa na Ushahidi wa kutosha juu ya kufahamu kuwa Daudi Balali yupo hai na sehemu alipo na yeye binafsi aliweza kumuona.imekuaje kwenye hiyo Orodha Hayati Chacha Zakayo Wangwe Hayupo ? au kwa kuwa wananchi wa Tarime walishachukua Hatua yakurudisha Jimbo kwa Chama cha Mapinduzi ili kuepuka Vifo visivyo vya Lazima vya Wabunge wao?
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.
Taarifa iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga Kilimanjaro Ndugu Japhar Mghamba na Katibu Msaidizi wa Mkoa Maalum wa Vyuo Vikuu wilaya ya Dar es salaam Ndugu Daniel Zenda wameshambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana.
Viongozi hao ambao wapo wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro kwenye operesheni maalum inayojulikana kama operesheni Kokoro ambayo inalenga kuhamasisha vijana wa upinzani na wasio na vyama kujiunga na CCM, kuhamasisha Vijana wa CCM kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa hapo baadae October mwaka huu, na kukagua, kuhamasisha na kuelezea katika matawi na kata juu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa kauli mbiu ya ..CCM Mwanga Ukimya sasa Basi..
Viongozi hao wa Jumuiya na Chama cha Mapinduzi wamekumbwa na Mkasa huo wa kusikitisha wakiwa wamemaliza sehemu ya kwanza ya Ziara hiyo katika Kata ya Kisangara na wakirejea mwanga mjini, Kwa bahati Njema hakuna aliyepoteza maisha na tayari taarifa zimesharipotiwa kituo cha Polisi Mwanga ambapo taratibu za Uchunguzi zinaendelea.
Matukio ya vurugu na vitisho vimeanza kutawala kwa kasi kubwa katika ulingo wa Siasa za ndani hapa nchini kwetu, ni vyema sasa Serikali ikawa macho katika kuangazia upande wa Siasa kama eneo hatari (Danger Zone) ili kulinda Uhai wa Vijana na wananchi kwa Ujumla.
Kwanza siitwi Msalewa.Naitwa Mselewa.Pili, mimi si mwanachama wa chama chochote nchini. Nasimamia ukweli. Kwahiyo,sina haja ya kuchumia tumbo kwakuwa nafanya kazi halali kutokana na uwezo na elimu yangu. Tatu, kama una ushahidi wa kuwa Ben Saanane anahusika na mambo kama haya,peleka kwenye vyombo vya usalama. Nashangaa leo Mkuu kiloriti hukumsifia Lowassa siku nzima!!
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.
Mkuu,Huyo coward amezoea kutaja taja majina ya watu kwa obsession aliyo nayo.Hana ushahidi zaidi ya kuandika tu
Taarifa iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga Kilimanjaro Ndugu Japhar Mghamba na Katibu Msaidizi wa Mkoa Maalum wa Vyuo Vikuu wilaya ya Dar es salaam Ndugu Daniel Zenda wameshambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana.
Viongozi hao ambao wapo wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro kwenye operesheni maalum inayojulikana kama operesheni Kokoro ambayo inalenga kuhamasisha vijana wa upinzani na wasio na vyama kujiunga na CCM, kuhamasisha Vijana wa CCM kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa hapo baadae October mwaka huu, na kukagua, kuhamasisha na kuelezea katika matawi na kata juu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa kauli mbiu ya ..CCM Mwanga Ukimya sasa Basi..
Viongozi hao wa Jumuiya na Chama cha Mapinduzi wamekumbwa na Mkasa huo wa kusikitisha wakiwa wamemaliza sehemu ya kwanza ya Ziara hiyo katika Kata ya Kisangara na wakirejea mwanga mjini, Kwa bahati Njema hakuna aliyepoteza maisha na tayari taarifa zimesharipotiwa kituo cha Polisi Mwanga ambapo taratibu za Uchunguzi zinaendelea.
Matukio ya vurugu na vitisho vimeanza kutawala kwa kasi kubwa katika ulingo wa Siasa za ndani hapa nchini kwetu, ni vyema sasa Serikali ikawa macho katika kuangazia upande wa Siasa kama eneo hatari (Danger Zone) ili kulinda Uhai wa Vijana na wananchi kwa Ujumla.
mwanamke una tamaa wewe!hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.
we msalewa ni mchumia tumbo mkubwa huna lolote unatetea damu za watu wasio na hatia ziendelee kumwagika,chadema ni mara ngapi imemtumia ben sa nane kufnya upuuzi huu ??yaan ww una laana
Chadema hawakwepi hili suala hata wafanye vipi hii tabia ya kipumbavu sana.