M/kiti wa wafanyabiashara Kariakoo anawatisha wale wote waliozungumza kwenye kikao na Lissu

Hakuna aliyemdhalilisha amejidhalilisha yeye mwenyewe
 
Sasa anawatisha Kwa lipi?
 
msitishwe, hao wote ni watu wanatafuta vyeo tu. Mkoloni mbaya ni kiongozi wa kiafrika hasiye jali masilahi ya nchi.
 
lisu anataka kuleta vita vya kiuchumi huu ni uhujumu uchumi na uhaini ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…