Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Ooh sawa kumbe Haina tofauti na tigopesa kibubuMuda wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sawa kumbe Haina tofauti na tigopesa kibubuMuda wowote
sifahamu kama nisawa mkuu. Ila m-wekeza wao wanatoa 13% kwa mwaka hii inamaana kwa siku unaweza kupokea 1%-1. Something . Na hiyo faida haihesabiwi kwenye mtaji nimpaka mwezi uisheOoh sawa kumbe Haina tofauti na tigopesa kibubu
Sasa mpesa inaweza pokea 234mil?Hapana . Nilazima iwepo Mpesa.
Kwahiyo mwezi ukibisha ndio unapokea gawio lao Kwa pesa uliyowekezasifahamu kama nisawa mkuu. Ila m-wekeza wao wanatoa 13% kwa mwaka hii inamaana kwa siku unaweza kupokea 1%-1. Something . Na hiyo faida haihesabiwi kwenye mtaji nimpaka mwezi uishe
Ndio. Tarehe 2-5Kwahiyo mwezi ukibisha ndio unapokea gawio lao Kwa pesa uliyowekeza
Sawa kaka ngoja tuweke pesa naamini hawana Kona KonaNdio. Tarehe 2-5
Mkuu hawajamaa mbona siwasomi faida zero wakati siku ishapita na hapa ulisema Kila siku wanaweka faida au ni matapeliHapana . Nilazima iwepo Mpesa.
Siku imepita lini mkuu 🤣Mkuu hawajamaa mbona siwasomi faida zero wakati siku ishapita na hapa ulisema Kila siku wanaweka faida au ni matapeli
Mkuu pesa niliweka Jana saa tano asubuhi ila mpaka Sasa hawajaweka riba yeyote kama ulivyoeleza wewe hapo maana kupo 00Siku imepita lini mkuu 🤣
Leo weekiend mkuu, iache hiyo pesa hadi siku za kazi uangalie salio. Its better kuangalia mtiririko unavyooenda baada ya kupokea riba ya mwezi then ugawanye kwa siku hela yako ilovyokaa huko M wekeza .Mkuu pesa niliweka Jana saa tano asubuhi ila mpaka Sasa hawajaweka riba yeyote kama ulivyoeleza wewe hapo maana kupo 00
Mkuu weekend huwa hawaweki ribaLeo weekiend mkuu, iache hiyo pesa hadi siku za kazi uangalie salio. Its better kuangalia mtiririko unavyooenda baada ya kupokea riba ya mwezi then ugawanye kwa siku hela yako ilovyokaa huko M wekeza .
. Mkuu, Kwa hiyo Ukiwekeza Kamilioni Moja Mwisho wa Mwaka una Shilingi ñgapi, Kwa hiyo Asilimia 13 ?Bora nianzishe kausha damu ntajua nitakavyo pambana na BOTView attachment 3158002
Inawekwa siku za kazi. Huwa inahesabiwa na kuwekwa siku za kaziMkuu weekend huwa hawaweki riba
Sawa mkuuInawekwa siku za kazi. Huwa inahesabiwa na kuwekwa siku za kazi