M23 waliamsha tena DRC, Wauteka mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini

M23 waliamsha tena DRC, Wauteka mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini

Wapewe hiyo ardhi wajitawale mana raia wanawaunga mkono,DRC imeshafeli pakubwa..hiyo nchi igawanywe ziwe nchi zinazojitegemea.
Raia wapi hao wanawaunga mkono?....ni pamoja na hawa karibia 3000 waliokufa kwenye vita vya kuiteka Goma?

 
Kuna sehemu nimesoma kuwa maelfu ya wanajeshi wa kulinda amani UN wameenda.
Ila nimesikitika sana, japo vita haina macho, kitendo cha kuwabaka na kuwachoma moto wakowa hai, wafungwa wanawake zaidi ya 141 na watoto wao si sawa. Kila aliyeshiriki ghadhabu ya Mungu ikamshukie.
Wamebakwa na wafungwa wa kiume ambao wamebomoa gereza wakaingia section ya wanawake wakawabaka na kuchoma moto gereza. Wengi wa wanawake wamekufa kwa moto.
 
Wamebakwa na wafungwa wa kiume ambao wamebomoa gereza wakaingia section ya wanawake wakawabaka na kuchoma moto gereza. Wengi wa wanawake wamekufa kwa moto.
Wamesema bado wanaendelea kuchunguza, japo hilo lilisemwa pia. Niliona wafungwa wa kiume wakikimbia na milio ya risasi inapigwa, ikimpata mtu chini. Wanahisi hao M23.
 
Wamesema bado wanaendelea kuchunguza, japo hilo lilisemwa pia. Niliona wafungwa wa kiume wakikimbia na milio ya risasi inapigwa, ikimpata mtu chini. Wanahisi hao M23.
Zipo clips zilizochukuliwa kwa drone, CNN wameonyesha jinsi masela wanavyokimbia hovyohovyo ndani ya gereza.
 
Kwa kuangalia maeneo wanayo shambulia M23 mpango wao ni kumiliki eneo lote la ziwa kivu na kivu yote kiujumla.

 
hakuna jw kule, waliopo huko ni vijana wachache sana wanalinda amani kwa muavuli wa sadc. Ushushe jw kule si watapiga mpaka kigali?
Nilisoma comment moja humu kuwa wamenyang'anywa simu zote ili wasifanye mawasiliano yoyote na wamepewa silaha zao kama heshima tu.
 
Back
Top Bottom