kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
nyuma ya hawa march 23 ,Joseph kabila ,pk hawakosekani
sababu kanali kapewa UGAvana kwahiyo wako vizuri sana
sababu kanali kapewa UGAvana kwahiyo wako vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ndugu yangu hapa anaitwa jMali...Siku nyingi sana sijamsikia. Bado yumo humu au ndio anakula kichapo huko Nyabimbwe 😅Sadc wanacheza kichapo Cha mbwa Koko mpaka wanakimbia wanaacha silaha ndio tatizo la kupeana ajira kwa kujuana wanajeshi wanakua waogawaoga
Raia wapi hao wanawaunga mkono?....ni pamoja na hawa karibia 3000 waliokufa kwenye vita vya kuiteka Goma?Wapewe hiyo ardhi wajitawale mana raia wanawaunga mkono,DRC imeshafeli pakubwa..hiyo nchi igawanywe ziwe nchi zinazojitegemea.
Yani imeniuma sanaKuna sehemu nimesoma kuwa maelfu ya wanajeshi wa kulinda amani UN wameenda.
Ila nimesikitika sana, japo vita haina macho, kitendo cha kuwabaka na kuwachoma moto wakowa hai, wafungwa wanawake zaidi ya 141 na watoto wao si sawa. Kila aliyeshiriki ghadhabu ya Mungu ikamshukie.
Hawana jeuri hiyo, yalikuwa maneno ya kwenye kanga tu.Tuliambiwa Burundi wanatoa Dozi vipi tena?
Wamebakwa na wafungwa wa kiume ambao wamebomoa gereza wakaingia section ya wanawake wakawabaka na kuchoma moto gereza. Wengi wa wanawake wamekufa kwa moto.Kuna sehemu nimesoma kuwa maelfu ya wanajeshi wa kulinda amani UN wameenda.
Ila nimesikitika sana, japo vita haina macho, kitendo cha kuwabaka na kuwachoma moto wakowa hai, wafungwa wanawake zaidi ya 141 na watoto wao si sawa. Kila aliyeshiriki ghadhabu ya Mungu ikamshukie.
Furaha yako imetimia askari wetu kuuwawa.Sadc na jeshi la congo
Waafrica ni binadamu ambao bado hawajakamilika kuumbwa kasoro zao ni kubwa kuliko wanyama wa porini.Wamebakwa na wafungwa wa kiume ambao wamebomoa gereza wakaingia section ya wanawake wakawabaka na kuchoma moto gereza. Wengi wa wanawake wamekufa kwa moto.
Wamesema bado wanaendelea kuchunguza, japo hilo lilisemwa pia. Niliona wafungwa wa kiume wakikimbia na milio ya risasi inapigwa, ikimpata mtu chini. Wanahisi hao M23.Wamebakwa na wafungwa wa kiume ambao wamebomoa gereza wakaingia section ya wanawake wakawabaka na kuchoma moto gereza. Wengi wa wanawake wamekufa kwa moto.
Ndugu wakigombana shika jembe ukalime, kimbelembele kwenye mambo yasiyotuhusu.Furaha yako imetimia askari wetu kuuwawa.
Sawa mtutsi shabiki wa Kagame mnywa damu za watu.Ndugu wakigombana shika jembe ukalime, kimbelembele kwenye mambo yasiyotuhusu.
You reap what you sow.
Yaleyale ya Sudan ndio yatatokea hapoWapewe hiyo ardhi wajitawale mana raia wanawaunga mkono,DRC imeshafeli pakubwa..hiyo nchi igawanywe ziwe nchi zinazojitegemea.
Most probably yes.Haigawanywi hawa wanampindua Felix na kuchukua Congo yote.
Zipo clips zilizochukuliwa kwa drone, CNN wameonyesha jinsi masela wanavyokimbia hovyohovyo ndani ya gereza.Wamesema bado wanaendelea kuchunguza, japo hilo lilisemwa pia. Niliona wafungwa wa kiume wakikimbia na milio ya risasi inapigwa, ikimpata mtu chini. Wanahisi hao M23.
hakuna jw kule, waliopo huko ni vijana wachache sana wanalinda amani kwa muavuli wa sadc. Ushushe jw kule si watapiga mpaka kigali?jw wako mji gani au wamesepa wote?
Pamoja sana Mcongoman mcheza mayenu na shabiki wa Tshisekedi, achana na mikorogo vaa combat uingie front.Sawa mtutsi shabiki wa Kagame mnywa damu za watu.
Nilisoma comment moja humu kuwa wamenyang'anywa simu zote ili wasifanye mawasiliano yoyote na wamepewa silaha zao kama heshima tu.hakuna jw kule, waliopo huko ni vijana wachache sana wanalinda amani kwa muavuli wa sadc. Ushushe jw kule si watapiga mpaka kigali?