Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
kwa hiyo amani gani wanayolinda huko wakati m23 wanazidi kuchukua miji...hakuna jw kule, waliopo huko ni vijana wachache sana wanalinda amani kwa muavuli wa sadc. Ushushe jw kule si watapiga mpaka kigali?
Waoga hao wako huko kula hela UN