Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
'....unanitaka?! Haya basi njoo uni...kama unamuonea wivu Jofrey.'
Hapo juu ni maneno ya binti mtoto wa jirani yangu aliyemfumaniwa na kijana chumbani kwake mda huu akimjibu baba yake mzazi.
Mzee wa watu ni msabato na alirejea nyumbani kutoka kanisani kufuata kitabu cha dini alichokisahau.
Alipofika nyumbani ghafla alianza kusikia miguno chumbani kwa mabinti zake ilhali alitambua familia yote ipo kanisani.
Baada ya kutaka kujiridhisha na kisababishacho mguno huo kwenye chumba cha mabinti wake ghafla alimkuta kijana Jofrey yu-juu mawinguni ya binti yake!
Baada ya yote ndiposa binti kwa ujasiri alimuuliza baba yake swali lile juu bila hiyana.
Nimeacha taharuki hiyo ikiendelea hapo kwa jirani.
Hapo juu ni maneno ya binti mtoto wa jirani yangu aliyemfumaniwa na kijana chumbani kwake mda huu akimjibu baba yake mzazi.
Mzee wa watu ni msabato na alirejea nyumbani kutoka kanisani kufuata kitabu cha dini alichokisahau.
Alipofika nyumbani ghafla alianza kusikia miguno chumbani kwa mabinti zake ilhali alitambua familia yote ipo kanisani.
Baada ya kutaka kujiridhisha na kisababishacho mguno huo kwenye chumba cha mabinti wake ghafla alimkuta kijana Jofrey yu-juu mawinguni ya binti yake!
Baada ya yote ndiposa binti kwa ujasiri alimuuliza baba yake swali lile juu bila hiyana.
Nimeacha taharuki hiyo ikiendelea hapo kwa jirani.