Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
😀😀siwezi fanya hivyoBora kulala,kuna majobless huwa nawashangaa hana inshu lakin anaamka mapema sana anaenda kijiwen anaanza kucheza draft sasa hapo Ni kama kuutangazia ulimwengu mzima kuwa huna job
Muda huo unakula wapi?Ushawahi kuwa jobles unalala mpka nywele za kisogoni zinataka kuwa uwaraza hahahaha
Yaaan sio shida zanguYaani uko jobless halafu unalala au sio🤣🤣🤣
Naomba kaziKumbe nawe jobless, aisee hatari.
Ila wee unajitakia ujobless sio kwa upaja huo
EwaaaaTunasubiri jua lizame tulale
Semeni mimi niwashauriUnambiwa ni kuamuka saa 12 na kuanza ku-tune wasafi fm na kuwasikikiza wakina maulid kitenge,then wanakuja wachambuzi wa mchongo wakina sports arena kikiisha kipind chao saa 5 hiyo wakija mashamsham na-switch clounds namalizia leo tena kipindi cha kina mwijaku mpaka saa 7,wakija mabishoo wale XXL nazima redio.
hapo unapigwa usingizi na kuperuzi jf majukwaa ja ajira mpaka saa kumi na moja narudi tena redioni naanza na wasafi fm kipind cha kina baba levo( chawa wa taifa) cha mgahawa sahivi kinaitwa jana na laeo nakipiga kile mpaka saa mbili.Hapo naanza utaratibu wa kujitetea (kupata msosi) theni saa 4 narudi upendo fm kula injili siku imeisha.....life goes on.
Hahahaha unalala mpka unachoka mwili unauma kwa kulala.......Mi hua nalala hadi naamka kupumzika
Acha tuHahahaha unalala mpka unachoka mwili unauma kwa kulala.......
Dah nmepakumbuka matimila songea..Una ambiwa tu Kuna ukoko wa wali umebaki vipi utakula au tuwape bata😂
Ushauri tushapata sana mkuu hapa muhimu ni kazi tu brother.Semeni mimi niwashauri
Ahha ndio chimbuko letu huko mkuuDah nmepakumbuka matimila songea..
Sasa mimi natoa elimu ya Kupata akili ya kuweza kupata hizo kazi sasaUshauri tushapata sana mkuu hapa muhimu ni kazi tu brother.
Huwezi amini kuna watu watajua unataniaNdyo naamka hapa jobless
Wewe si muamerika, Rudi kwenu mkuu unaweza hata kusaidiwa na JEIZIISaidia fundi tujuane hapa
Kula mpakani ukila saa 3 usiku imeisha hiyo....unaweza piga chapat zako maharage kibos au ukipata vichenji vya masimango unatoa kitu(ugali) magetoniMuda huo unakula wapi?
Weka madini.Sasa mimi natoa elimu ya Kupata akili ya kuweza kupata hizo kazi sasa
Oya mzabzab ntakuzabuaNyie hamfai kabisa maana mkipata hela mnawaza kugegeda tuu
Kuna maisha unapitia Unawez hisi Tanzania nzima ni wewe tu ndio unaisha hivyo kumbe kiuhalisia ni wengi wanapitia hiyo hali. Ngoja tuendelee kupambanaKula mpakani ukila saa 3 usiku imeisha hiyo....unaweza piga chapat zako maharage kibos au ukipata vichenji vya masimango unatoa kitu(ugali) magetoni