Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lecturers wengi wamesoma nje ya nchi acha wivu na roho mbaya.Bongo hakuna real PhD,wote hao ni wazee wa C & P.
Tunaziita PhD za mchongo.
Masters ya Kiswahili?Hatusomi Kufaulu Lazima(HKL)
Ndo masomo yenu yanaendana na nyuzi za Mtibeli.
Yeye pia amenikopi mimi kwa hio nikitoka mimi anakuja yeyeYour genius mkuu
hadi PhD, UDSM hukoMasters ya Kiswahili?
Wee jamaaa ndo mana jukwaa la intelligence huwa hawakutaki 😁😁😁😁😁😁Yeye pia amenikopi mimi kwa hio nikitoka mimi anakuja yeye
Robert mwenyewe unamjua?Vipi kama lecturer ni Robert, Au wewe unafahamiana na Robert?
Bado ana uchoyo wa sekondari huyu dogo !! Alikua akipewa pepa anakimbilia kufichaKama kuna content ambayo inaongeza thamani kwanini asiitumie? Labda ungelalamika kwamba hawaanyi acknoedgement.
elimu haina mwisho ndrugu zangu,Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu.
Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo.
Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!!
Upo sahihi ila zingine ni tafakari za mtu binafsiMbona ni kawaida hii ni platform ya kujisomea na kuandika , sioni ubaya wa mtu kuhamisha maarifa kwa wengine kama lengo ni elimu hata akivaa uhusika mradi ni kwenye mambo ya msingi ya kujenga.
Hata wanaoandika hapa JF asilimia hawatoi kwenye vacuum kuna mahala walisoma au waliona wakataka kujadili na watu na likajadiliwa fresh tu.
😅😅😅Wakuu nipo Venue hapa kuna MTU anasoma nyuzi za Robert Heriel na kujifanya ni za kwake huku akijisifu.
Hakika JF sasa ni zaidi ya chuo.
Hivi wanafunzi wa masters utawadanganya kirahisi hivi!!
Aisee, kumbe wewe ni influencer kabisaMaandishi yangu yanasomwa na watu wasiopungua Milioni Moja kwa Siku.