Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Basi ni mhuni tu
Maana wengi wanadanganya wenye tuition center hizo
 

hahaaahaaaaa umenchekesha, nliuliza hivyo coz kwenye top & ivy league universities za marekani eg harvard, yale, cornell, duke, MIT etc zina-attract very smart students from all around the world, so i thought ma T.O wa hapa kwetu watapata tougher time kushika nafasi ya kwanza wakifika huko Al-Watan
 
Ila huenda hawakuwa combination moja siajabu huyu binti alikuwa H kunani uko hahaha
Kwa hiyo jamaa alikosa mzigo ivi ivi duuh
 
Vichwa vibovu tu hakuna cha uvivu.

Hawa ma T.O wanasoma sana usiwaone hivyo, on average T.O anasoma masaa 10 kila siku, sometimes they spend sleepless nights kisa kusoma, mm naamini kuna wanafunzi wengi tanzania wana uwezo mkubwa wa kiakili wa kuingia top 10 kitaifa/au kupata div 1 point 7 "O" level, sema ni wavivu kusoma Super Sub Steve
 
Log boy..
Jamaa alikuwa anamkubali sana babu .
sema nae yko vizuri pure ila anabore kumdiss dis mwarami mda wote.

Boss nawe ulipita yale maeneo kumbe. .??
Mwarami ni yupi maana nina school mate wangu mmoja alikuwa mzur academically japo hakunifikia,alisoma azani olevel advance mzizima ni mwembamba nahc anakaa mbagala
 
Mwarami ni yupi maana nina school mate wangu mmoja alikuwa mzur academically japo hakunifikia,alisoma azani olevel advance mzizima ni mwembamba nahc anakaa mbagala
pocbl atakuwa huy jamaa anapigaga pind maarifa tandika yuko na kina Lingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…