Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Kaka umeongea neno kabisa, nikakubaliana na wewe hawa Ma-TO wanaspend more time than ana average student coz wanajua kabisa wanataka nini.
 

Acheni kujidanganya na kutoa visingizio visivyokuwa na sababu. Kweli kusoma might be the case for their flying color passmarks, lakini kumbuka pia kuna kuelewa. Kwa maana unaweza kesha na usielewe. Na kuna baadhi nawafahamu hawakuwa wasomaji kiviile but matokeo yao yaliwaingiza top 10.

Usidanganywe, those T.O and top 10 dudes have something special in them. Nimepata bahati ya kuishi nao baadhi maisha ya shule na ninachoweza sema ni kuwa wapo vizuri in what they do.
 
Mwarami ni yupi maana nina school mate wangu mmoja alikuwa mzur academically japo hakunifikia,alisoma azani olevel advance mzizima ni mwembamba nahc anakaa mbagala
huyo alisomaga tabor a boys akahamishiwa pugu boys advnce ila o level sawa Azania na nimwembamba pia
 
Hahaha Mzee was pond nambie ulikwa unakaa wapi azimio maendeleo hivi babu nzoi yupo?
 
Huyo hakumaliza pugu2006 mir nimemaliza pale 2006
 
jamaa naskia alikuwa mkimya sana bwana mgimba, Tena jamaa naskia kina Gwamaka walikuwa wanamskia chini chin.. Hiv Minaki shule kubwa nayo?!, na huyu bwana faith alisoma chuo gani?!
 
jamaa naskia alikuwa mkimya sana bwana mgimba, Tena jamaa naskia kina Gwamaka walikuwa wanamskia chini chin.. Hiv Minaki shule kubwa nayo?!, na huyu bwana faith alisoma chuo gani?!
FAITH wa MARIAN G,,Minaki inahadhi sawa na AZANIA tu.Kashule Fulani hivi polini huko,,ukitoka PUGU BOYS Unadaka Gari za Kisarawe unashukia MINAKI.
 
Mbali na uTO wapo wapi na wanafanya nn kupitia ugenius wao au ndo imebaki story tu za uTO???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…