Mkuu hebu kuwa serious basi hata KIDOGO,yani huyo Kibabu wako MTATA unamfananisha na MASTER Mwaramy aka MWARAMSHA??????Man Achana na Mtata kaka, Jamaa hakuwa maarufu ila alikuwa noma.
Mimi sikusoma namba A-level, nilipiga PCB, lkn Kuna Chuma pale Mzumbe alikuwa anapiga kwa Mtata na akamwahidi atamletea A ya Namba, na kweli jamaa akapiga A.
Mwaram nae noma ila kwa Mtata anakaa
Sawa.endelea kuwashangilia.ni jambo zuri.Mkuu mimi nilikuwa mshangiliaji tu PALE Azania kwa NGOZYE🙂🙂🙂🙂
Zawadi nimesoma nae darasa moja miaka 6 ya shule ya msingi alianzia la pili hakugonga std 1 ila uwezo wake ulikuwa superficial.
Stream yetu ilikuwa ya vichwa tupu ila toka jamaa alipojoin class 2, rank ya namba moja(1st student) ilikuwa ni kama TAG yake. Kila term anachukua zawadi yeye ndio best student hadi tukazoea sasa kwa miaka yote.
Hivyo kwa miujiza alioifanya mbele ya taifa kwangu mimi sio ajabu sana maana mchizi show ya kupandisha madude shuleni anaiweza mi mwenyewe nilikuwa nyoko ila ule mziki ni CD700 halafu mchizi hana pozi wala nini ye amani tu. Bless up to Zawadi Mdoe!
We mwenzangu buana..uko nyuma sina historia ata...ila kufaulu ndo Tabia zetuHahahah me CHUO nilipata Gentlemen
Naandaa data za T.O 1993 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF
andaa data za hawa ma T.O, faith assenga, immaculate mosha na wolfgang seiya, if possible, Maana nlisikia immaculate mosha alijisifu atakuwa tena wa kwanza form 6 lkn alipigwa chali akawa wa 5 kitaifa Deadbody
Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....nachoweza kusema juu ya sily boy maana niliish nae kibaha boy jamaa alikua mpole sana sana hakuwah kumiss kipindi chochote cha ibada(alikua mromani) ni moja kati ya mafundi wapole sana na kitu kingine sili alikua anatumia mkono wa kushoto ukimwona akifanya mtihan utadhani hatomaliza kwa wakat kwa jinsi ambavyo hapaniki lakin homeboy alikua very smart linapokuja swala na namba mpaka ikafika steji pale kibahaa swali likisumbua utasikia nenda skandia(bweni alilokua akiish) kwa fundiii......
ila jamaa chuo alichagua ardhi..(sikujua kwa nin ila naamin jamaa alikua na malengo flani) mpaka last time naonana nae pale ardhi mwendo ulikua ni ulele wa kuwakimbiza...sijajua tokeo lao nani aliyeongoza overall ila najua kijana angu alituwakilisha vizuri...
long live kibaha boys.....!!!!
Mwaramsha nuksi kakaMan Achana na Mtata kaka, Jamaa hakuwa maarufu ila alikuwa noma.
Mimi sikusoma namba A-level, nilipiga PCB, lkn Kuna Chuma pale Mzumbe alikuwa anapiga kwa Mtata na akamwahidi atamletea A ya Namba, na kweli jamaa akapiga A.
Mwaram nae noma ila kwa Mtata anakaa
Sorry mzee nilikusudia kuandika "C" ila fast typing mkuu...Asante kwa kunikosoa kweli nilibofoa,,,nimelirekebishaMkuu chuo gani hicho kinahesabu D kama pass ....[emoji4] [emoji4]
Though cheti changu cha chuo kina makarai kwelikweli.....[emoji2] [emoji2]
Usijali mkuu.... sisi tuliopata pass huu uzi tunaupitia tukiwa ndani ya shuka [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sorry mzee nilikusudia kuandika "C" ila fast typing mkuu...Asante kwa kunikosoa kweli nilibofoa,,,nimelirekebisha
martin chegere kaongoza darasa la 7 taifa wakati anasoma ukonga.Akachaguliwa kibaha hakwenda,akaenda maua seminary akawa t.o o lev,akaenda pugu advance akawa t.o,akaend udsm bachelor akaongoza,masterz udsm akaongoza,akaenda Phd sweden akaongoza.Martin ndo yupi tupe detail zake kidogo
mkuu tatizo vijaa hukamia sana.....Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....
Amevunja rekodi za ma prof wa miaka hiyo nadhani performance yake haijawahi tokea pale kwa kitivo chetu na chuo kwa ujumla.....