Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

View attachment 654129
View attachment 654129
Huyu nimuandikie TU maana hakuna nisichokijua KUHUSU MOSSES

Huyu T.O Kasoma UDSM(Bachelor) na UDOM(Masters)

Huyu ndio anaweza akawa anamkaribia CHEGERE kwa mbaliiiii

Dah mwalimu wangu huyu kwenye Masters yangu, jamaa anafundisha usipoelewa anakufundisha kwa adithi mwishowe unaelewa, yupo vzr sana
 
Huyo dogo jully luvanga aliingia top ten kwa combination ya CBA advance aliweka 4, so hajaanzia chuo
Hata hivyo tulijua tuko na T.O mule ndani paper nyingi mule class alikuwa ni mtu wa 85+ Yaani alikuwa anakula banda kama hana akili nzuri......

Though Mwaka wa kwanza aliachwa na jamaa fulani hivi kwa point thou average walikuwa sawa.....

Kuanzia mwaka wa pili mpaka wa tano hakuachia tena namba alikomba zawadi zote... ma proffesor wengi mule ndani walivutiwa na kipaji na uwezo wa jamaa soon ataanza masters nadhani wanamuandaa kuwa instructor or tutorial wa pale kituvoni....
 
aliyekuwa t.o udsm km unavyoita mwaka jana alikuwa Danny toka pspa.
halafu jamaa toka department jericko mtu mfupi aka bendera ya chuma akawa hamkubali jamaa et hana merits 4.8
Vipi vijana wa udsm kuna jamaa yangu alikuwa anaitwa salvatory kessy kijana wa majengo alikuwa akisoma actuarial science alimaliza 2015 vipi hakufanya maajabu kweli hapo.....
 
Deadbody unampata mwamba mmoja toka ilboru wakuitwa Michael Kundete 2007 alipga iyunga aliongoza, akaenda a- lev pcb 1.3 ilboru 2010 hapo yeye ndo aliongoza
akaenda MD Muhimbili.

S0110/0607

M

MICHAEL KUNDETE

3

I

G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-
57b1013922243bc5109c0fc755d413ab.jpg
Jamaa kanifundishwa tuition pale pacha learning center dadeq alikuwa ni nyoko
 
Naandaa data za T.O 1993 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF

Ha ha ha ha ha huyu jamaaa namfaham in details alikuwa mwalimu wangu Ruaha catholic university,jamaa akiingiia class kwanza kabla ya kufundisha anaonyesha vyeti vyake kwenye projector kuanzia 4M4 mpaka master,hakuna B ni B+ na A,akimaliza kuonesha anatuambia kwenye somo langu ukipata C basi jua kuwa una Sup
 
Log boy..
Jamaa alikuwa anamkubali sana babu .
sema nae yko vizuri pure ila anabore kumdiss dis mwarami mda wote.

Boss nawe ulipita yale maeneo kumbe. .??
Log yupi huyu mnayemzungumzia vijana
Ex Azaboy to Tosa au kuna log mwingine?
 
Back
Top Bottom