Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

Nitajie majina mawili tu ya wanafunzi wa Yesu kwa mujibu wa Quran na hadithi
Hakuna mahala Nimekwambia majina yametajwa na hii ni sababu kua wanafunzi wa yesu wako zaidi ya 12 ukiondoa wale alio anza nao kazi ndio na hilo sio lengo kwamba majina si issue issue ni kazi za hao wanafunzi
Zilizo fanywa na idadi hope umeelewa na ndio maana Quran imetambua uwepo wa wanafunzi kwa kazi zao na sio kuanza kutajana majina.
 
pasaka ni kufufuka kwa Yesu?
Mi ninavyojua pasaka ni maadhimisho ya Waisrael kutoka misri utumwani

Kutoka12:12 Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana.

13 Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri.

14 Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa Bwana; mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele.

15 Mtakula mikate isiyochachwa muda wa siku saba; siku hiyo ya kwanza mtaondoa chachu yote isiwe katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu ye yote atakayekula mkate uliochachwa tangu siku hiyo ya kwanza hata siku ya saba, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na Israeli.

16 Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yo yote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.

17 Nanyi mtaitunza ile sikukuu ya mikate isiyochachwa; kwa kuwa katika siku iyo hiyo mimi nimeyatoa majeshi yenu katika nchi ya Misri; kwa hiyo mtaitunza siku hiyo katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele.

18 Mwezi wa kwanza, siku ya mwezi kumi na nne, wakati wa jioni, mtakula mikate isiyochachwa, hata siku ya mwezi ishirini na moja jioni.

19 Muda wa siku saba isionekane chachu katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu ye yote atakayekula hiyo iliyotiwa chachu, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na mkutano wa Israeli, akiwa mwenye kukaa hali ya ugeni, au akiwa mtu aliyezaliwa katika nchi.

20 Msile kitu chochote kilichochachwa; mtakula mikate isiyochachwa katika makao yenu yote.

21 Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.

22 Nanyi twaeni tawi la hisopu, mkalichovye katika ile damu iliyo bakulini na kukipiga kizingiti cha juu, na miimo miwili ya mlango, kwa hiyo damu iliyo katika bakuli; tena mtu ye yote miongoni mwenu asitoke mlangoni mwa nyumba yake hata asubuhi.

23 Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi.

24 Nanyi mtalitunza jambo hili kuwa ni amri kwako na kwa wanao milele.

25 Itakuwa hapo mtakapoifikilia hiyo nchi, Bwana atakayowapa, kama alivyoahidi, ndipo mtakapoushika utumishi huu.

26 Kisha itakuwa, hapo watoto wenu watakapowauliza, N'nini maana yake utumishi huu kwenu?

27 Ndipo mtawaambia, Ni dhabihu ya pasaka ya Bwana, kwa kuwa alipita juu ya nyumba za wana wa Israeli huko Misri, hapo alipowapiga Wamisri, akaziokoa nyumba zetu. Hao watu wakainama vichwa na kusujudia.

28 Basi wana wa Israeli wakaenda na kufanya mambo hayo; vile vile kama Bwana alivyowaamuru Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya.

29 Hata ikawa, usiku wa manane Bwana akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mzaliwa wa kwanza wa Farao aliyeketi katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa mtu aliyefungwa katika nyumba ya wafungwa; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.

30 Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.
Umeongea mengi sana lakini kitu ambacho hujui ni kuwa maelekezo ya kuadhimisha pasaka waliyopewa wanawaisraeli yalikamilishwa na YESU KRISTU,kama umesoma vizuri umeona namna ushahidi wa damu ulivyowaokoa wanawaisrael.

Yesu amemwaga damu kwa ajili ya ulimwengu mzima,damu yake ni ushahidi wa ukombozi wa dunia nzima,Yeye ni pasaka yetu na dunia nzima tunamwazimisha kwa shangwe. Inabidi ujifunze kuwa yote yliyoelekezwa kwenye agano la kale yalikuwa ni type and shadows of CHRIST. If you still can't see JESUS in old testament texts i suggest you go back to class.
 
Mtumba utavaa mwenyewe na upopoma wako
 
Hakuna mahala Nimekwambia majina yametajwa na hii ni sababu kua wanafunzi wa yesu wako zaidi ya 12 ukiondoa wale alio anza nao kazi ndio na hilo sio lengo kwamba majina si issue issue ni kazi za hao wanafunzi
Zilizo fanywa na idadi hope umeelewa na ndio maana Quran imetambua uwepo wa wanafunzi kwa kazi zao na sio kuanza kutajana majina.
Wako zaidi ya 12 kwa mujibu wa Quran au hisia zako?na ni zipi hizo kazi zilizofanywa na hao wanafunzi kwa mujibu wa Quran?
 
ndio vizuri wakristo na waislam wakitoka kwenye maadhimiso ya Quran wanaenda kula pilau,imekaa pazuri sana iyo siku.ubunifu mzuri huu.
 
Hopeless kungekuwa hakuna tatizo wangebadili tarehe ya hilo Tukio lao kutoka tarehe 9 April ( Pasaka ) na sasa kuwa tarehe 2 April?
Kwani Kusoma Quran Kuna fanya watu tushindwe kusheherekea pasaka?..

Religion tolerance ni muhimu.. Mbona sahivi wote tupo kwenye mfungo?

Je ikitokea wote wote tunasherekea siku moja kutakuwa na tatizo?.. Huoni kwa Namna ambavyo calendar inaenda miaka Michache ijayo Sikukuu ya pasaka itagongana na ya Eid?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hujajibu swali
Unalazimisha wakati nimekueleza Allah na malaika zake wanamuombea Mohammad kwa mujibu wa Quran sasa sijui wapi haujaelewa...ndio nataka wewe unieleze hiyo aya inayosema hivyo maana yake ni nini kwasababu tunajua anayeombwa ni Mungu tu sasa iweje huyu Allah nae amuombee mtu?
 
Lazima utokomee tu nimekuuliza luka ipo kwenye Quran? Nataka andiko ndani ya Quran iliyotaja kuwa Yesu alikuwa na wanafunzi 12
mimi Nimekwambia anao zaidi ya hao bado hujaelewa

Quran imetaja kua yesu anao wanafunzi wake je hilo kweli sio kweli?
 
Unalazimisha wakati nimekueleza Allah na malaika zake wanamuombea Mohammad kwa mujibu wa Quran sasa sijui wapi haujaelewa...ndio nataka wewe unieleze hiyo aya inayosema hivyo maana yake ni nini kwasababu tunajua anayeombwa ni Mungu tu sasa iweje huyu Allah nae amuombee mtu?
Toa andiko hapa

Alafu uniambie wapi yesu alisema yeye ni mungu kwenye bibilia
 
Wakristo waachwe / tuachwe Kudharauliwa Awamu hii ya Muislamu Mwenzako / Mwenzenu.
Kwani lini Nchi hii haikupita kwa rais ambaye hana Dini? JK Nyerere, mkapa, JPM- wakristo, SSH,mwinyi Sr, JK the second,- Waislamu, what is your call?
 
Back
Top Bottom