Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

Ona unavyo haha wewe umesema mungu anashindaniwa sasa unazungumza kuhusu kuhusishwa ni kuelewa vip?
we jamaa acha kudanadana kama kitenesi, eleza hayo ni mashindano? Mungu ana mashindano, bora mngefanyia hayo mambo misikitini ingeleweka vizuri kuwa mnafundishana kusoma na kukariri quran kisha kupeana zawadi huko
 
we jamaa acha kudanadana kama kitenesi, eleza hayo ni mashindano? Mungu ana mashindano, bora mngefanyia hayo mambo misikitini ingeleweka vizuri kuwa mnafundishana kusoma na kukariri quran kisha kupeana zawadi huko
Hayo ni mashindano na yatafanyika kila mwaka

Kwa taarifa yako kila mwaka anaalikwa kiongozi wa juu wa serikali kashaalikwa marehemu magufuli kaja
Kashaalikwa majaliwa kaja
Na awamu hii samia nae atakuja
 
Pigeni kelee wee rukeni rukeni wee ila hayo mashindano yatafanyika na wala hutasikia hata viongozi wakikemea
 
Uko sahihi pwani na wakristi tunaishi nao vizuri kabisa
sawa kabisa, sasa iweje mpange mashindano yenu katikati ya sikukuu ya wenzenu hao, hamkujua hiyo siku itakuwa ni sikukuu ya taifa kwa mujibu wa kalenda ya matukio katika taifa hili?
 
kwani uliambiwa makanisa yatafungwa kwa vile kutakuwa na mashindano ya kusoma Qurani?

Kila mtu ana dini yake anafanya mambo yake bila bugudha, 'maashey khof' - hakuna hofu.
Yaani huyu mtu ni mpumbavu Sana anataka anacho fikiria yeye iwe kama sheria
 
Sasa hi hoja yako in Uhusiano gani na thread ya mleta mada mkuu?

Basi Kama ulishindwa kusoma kilichoandikwa si ungesoma tu tittle ungeelewa anakusudia kusema Nini?

Swali ni kwa Nini kilele Cha siku ya Quran iwe siku ya maadhimisho ya pasaka? Kwa nini wasingevuta ikawa jumapili ile nyingine,ili jumapili hii ya pasaka waheshimu wenzao wakristo washerekee sikukuu yao ambayo waliisubiria kwa siku 40(kwaresma)?

Hivyo ndivyo ilipaswa kuwa. Ni swala la ustaharaabu tu,na si kushindana.
Au siku ya Eid, wakristo waadhimishe siku ya kusoma biblia pale uwanja wa Taifa.
 
Hakika wewe ndio charismatic fella, je ingekuwa vizuri kwa wakristo kufanya maadhimisho makubwa ya kitaifa kama kusoma biblia au kufanya kitu kitachovuta attention za watu siku ya Eid?
 
Kiutaratibu Raisi wa nchi ni cheo chenye dhamana kubwa mno. Kwenye sherehe mbalimbali za kitaifa au matukio makubwa lazima na cheo chenyewe kishiriki hayo maadhimisho. Ndio maana lazima ungemkuta Mzee Magu kwenye sijui shura ya maulid au swala ya iddi. Sio kwamba ni Mwislamu hapana ila cheo kinahitajika. Na kwa mama pia alistahili Misa ya Pasaka na yeye awepo. Ni utamaduni mzuri wa Raisi kula sikukuu na wananchi wake. Sijajua mama anaogopa Nini. Nilikua namuona Kikwete kanisani mara nyingi tu.
 
Mungu gani huyo anayefanyiwa mashindano? Tafuteni jina zuri hayo sio mashindano. Wanaposema mashindano wanatumia muafaka gani katika istilahi ya lugha fasaha? Mambo ya dini na imani yanaitwa mashindano ni kituko
Shida ni uelewa tu yale siyo mashindano ya quran ni mashindano ya kuhifadhi quran . Kama ni swale la kumshindanisha mungu mbona makanisa ya Kirkhope kila siku yanaibuka yale siyo mashindano? Uliahasikia msikiti mpya unaosali togauti tngu uzaliwe?
 
mpaka Jana Usiku Mabango yote ya Barabarani juu ya hilo Tukio tarehe iliyokuwepo ni 9 April, 2023 na sasa baada ya kuona GENTAMYCINE nimewashikeni pabaya mmeamua kubadili tarehe na Venue. Hovyoooooooo....!!!!!!!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Acha ujuha wewe, hayo ya diamond jubilee nimengine na ya taifa tar9 ni mengine, hakuna binadamu wa kubadili ratiba kisa wewe
 
Kiutaratibu Raisi wa nchi ni cheo chenye dhamana kubwa mno. Kwenye sherehe mbalimbali za kitaifa au matukio makubwa lazima na cheo chenyewe kishiriki hayo maadhimisho. Ndio maana lazima ungemkuta Mzee Magu kwenye sijui shura ya maulid au swala ya iddi. Sio kwamba ni Mwislamu hapana ila cheo kinahitajika. Na kwa mama pia alistahili Misa ya Pasaka na yeye awepo. Ni utamaduni mzuri wa Raisi kula sikukuu na wananchi wake. Sijajua mama anaogopa Nini. Nilikua namuona Kikwete kanisani mara nyingi tu.
Kumbuka mama yupo kwenye mfungo,
 
Kumbuka mama yupo kwenye mfungo,
Angekua mkristo halafu waziri mkuu mkristo na makamu Labda mgojwa halafu Eid imeangukia siku ya Ijumaa kuu unafikiri asingeenda? Kinaenda kiti sio mwenye kiti.
 
Jibu ni rahisi sana, alisurubiwa siku ya ijumaa kuu, siku ya tatu akafufuka katika watu.

Yesu ameikuta Pasaka ikisherehekewa, Sasa matendo yaliyotokea ni Salama ya Ukristo tangu ijumaa Kuku.

Kuna watu hapa hapa mjini wamezaliwa tarehe 25 December, Kwahiyo siku ya Christmas wao ni birthday yao.

Cha msingi uelewe Yesu ameikuta Pasaka.


Kama kaikuta pasaka kwanini siku yake ya ufufuko isipewe jina jingine??
 
Back
Top Bottom