Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Nilimsikia mazinge "wapite mashababi kumi watoe laki 2 kila mmoja kwa ajili ya Allah na kweli vidume vikapita kutoaHao waislam wa wapi na sikukuu gani ya waislam iliyofungamana na ya kikiristo!?..idd kubwa au ndogo,maulidi,ilikua lini!?..yaani waislam washindane na wakiristo,siyo nyinyi mnaohamasishana kutoa sadaka kubwa na siyo mia mia Kama waislam!?
GENTAMYCINE huwa naeleweka vyema na Werevu ( Intelligent ) kama Wewe hapa JamiiForums ila Wapumbavu tu pekee ndiyo hawajawahi Kunielewa.Mtoa mada kachokoza ili wanajopo tuweze kujadili na kimsingi anazungumza jinsi Hizi Dini ambavyo zimeishi siku zote kwa kila mmoja kumheshimu mwenzake..
Swali, Je ni sawa? Kwa maana Inaleta picha nzuri kwa Wakristo?
Nadhan ni swala la Uungwana kusogeza tarehe
Mtoa mada kama huna jicho la Tai unaweza kumwelewa vibaya
Acha kuongea kiunafiki. Haina haja ya kupindisha, we nyoosha tu maelezo, kama unamtetea mtoa mada mtetee kisawasawa sio unatengeneza maneno. Na nyinyi subirini siku ya Eid mfanye yale matamasha yenu. Kinachowauma ni kwamba uislam una nguvu ya watu. Hata mkileta matamasha yenu siku ya sherehe ya kiislam bado mtafunikwa. Hiko ndo kinachowakera. Ila poleni hamuwezi ipinga dini ya AllahMtoa mada kachokoza ili wanajopo tuweze kujadili na kimsingi anazungumza jinsi Hizi Dini ambavyo zimeishi siku zote kwa kila mmoja kumheshimu mwenzake..
Swali, Je ni sawa? Kwa maana Inaleta picha nzuri kwa Wakristo?
Nadhan ni swala la Uungwana kusogeza tarehe
Mtoa mada kama huna jicho la Tai unaweza kumwelewa vibaya
Nakushauri kasherehekee pasaka kwa kusikiliza Qur'an.Na nimeona katika Tangazo lao Kubwa kuwa Mgeni rasmi atakuwa ni Muislamu Mwenzao Rais Samia Suluhu Hassan na litafanyika tarehe 9 April, 2023 ambayo Wakristo wote akina GENTAMYCINE ( Zanaki and Makuwa Think Tank ) ndiyo tutakuwa tunesheherekea Siku Kuu yetu Muhimu na Kubwa ya Pasaka ( Kufufuka kwa Mkombozi Wetu ) Yesu Kristo.
Nimekaa pale sasa tayari kusubiria Majibu yenu na pia Kusoma Maoni yenu kama Great Thinkers hapa JamiiForums.
Endeleeni kutafuta Watu ubaya Oky?
Ushauri mzuri sana huu. Wakristo pia wanakaribishwa hatuna hiana sisi na hatubaguiNakushauri kasherehekee pasaka kwa kusikiliza Qur'an.
Utamuhubiri kristo kabla ya safar ya mwishoNakushauri kasherehekee pasaka kwa kusikiliza Qur'an.
Hhhhhhhhh pole sanaaaaaHakika hilo JINA LA YESU lina nguvu, hata kulitaja kimchezo inakuwa ngumu...linatisha!
pasaka ni kufufuka kwa Yesu?
Mi ninavyojua pasaka ni maadhimisho ya Waisrael kutoka misri utumwani
Kutoka12:12 Maana nitapita kati ya nchi ya Misri usiku huo, nami nitawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, wa mwanadamu na wa mnyama; nami nitafanya hukumu juu ya miungu yote ya Misri; Mimi ndimi Bwana.
13 Na ile damu itakuwa ishara kwenu katika zile nyumba mtakazokuwamo; nami nitakapoiona ile damu, nitapita juu yenu, lisiwapate pigo lo lote likawaharibu, nitakapoipiga nchi ya Misri.
14 Na siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaifanya iwe sikukuu kwa Bwana; mtaifanya iwe sikukuu katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele
15 Mtakula mikate isiyochachwa muda wa siku saba; siku hiyo ya kwanza mtaondoa chachu yote isiwe katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu ye yote atakayekula mkate uliochachwa tangu siku hiyo ya kwanza hata siku ya saba, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na Israeli.
16 Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yo yote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.
17 Nanyi mtaitunza ile sikukuu ya mikate isiyochachwa; kwa kuwa katika siku iyo hiyo mimi nimeyatoa majeshi yenu katika nchi ya Misri; kwa hiyo mtaitunza siku hiyo katika vizazi vyenu vyote, kwa amri ya milele.
18 Mwezi wa kwanza, siku ya mwezi kumi na nne, wakati wa jioni, mtakula mikate isiyochachwa, hata siku ya mwezi ishirini na moja jioni.
19 Muda wa siku saba isionekane chachu katika nyumba zenu kabisa; kwa kuwa mtu ye yote atakayekula hiyo iliyotiwa chachu, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na mkutano wa Israeli, akiwa mwenye kukaa hali ya ugeni, au akiwa mtu aliyezaliwa katika nchi.
20 Msile kitu chochote kilichochachwa; mtakula mikate isiyochachwa katika makao yenu yote.
21 Hapo ndipo Musa akawaita wazee wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana-kondoo kama jamaa zenu zilivyo mkamchinje pasaka.
22 Nanyi twaeni tawi la hisopu, mkalichovye katika ile damu iliyo bakulini na kukipiga kizingiti cha juu, na miimo miwili ya mlango, kwa hiyo damu iliyo katika bakuli; tena mtu ye yote miongoni mwenu asitoke mlangoni mwa nyumba yake hata asubuhi.
23 Kwa kuwa Bwana atapita ili awapige hao Wamisri; na hapo atakapoiona hiyo damu katika kizingiti cha juu, na katika ile miimo miwili, Bwana atapita juu ya mlango, wala hatamwacha mwenye kuharibu aingie nyumbani mwenu kuwapiga ninyi.
24 Nanyi mtalitunza jambo hili kuwa ni amri kwako na kwa wanao milele.
25 Itakuwa hapo mtakapoifikilia hiyo nchi, Bwana atakayowapa, kama alivyoahidi, ndipo mtakapoushika utumishi huu.
26 Kisha itakuwa, hapo watoto wenu watakapowauliza, N'nini maana yake utumishi huu kwenu?
27 Ndipo mtawaambia, Ni dhabihu ya pasaka ya Bwana, kwa kuwa alipita juu ya nyumba za wana wa Israeli huko Misri, hapo alipowapiga Wamisri, akaziokoa nyumba zetu. Hao watu wakainama vichwa na kusujudia.
28 Basi wana wa Israeli wakaenda na kufanya mambo hayo; vile vile kama Bwana alivyowaamuru Musa na Haruni, ndivyo walivyofanya.
29 Hata ikawa, usiku wa manane Bwana akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mzaliwa wa kwanza wa Farao aliyeketi katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa mtu aliyefungwa katika nyumba ya wafungwa; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.
30 Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.
Mwaisela na Kibasila zote ni Muhimbili.Na kingine usiseme wakristo wote sema wa Rc ndio waanasherekea pasaka
Labda huelewi kuwa Waislam tunamuhubiri Yesu, alayhi salaam, kwa uhalisia wake kuliko wanaojiita wakristo.Utamuhubiri kristo kabla ya safar ya mwisho
Uhalisia wake kivipi?Labda huelewi kuwa Waislam tunamuhubiri Yesu, alayhi salaam, kwa uhalisia wake kuliko wanaojiita wakristo.
Utasikilizaje kitu ambacho kati ya watu 200 wanaoelewa ni 10?Nakushauri kasherehekee pasaka kwa kusikiliza Qur'an.
Luka 4:17Usijisumbue kishachakachuliwa hiki kitabu. Kwanza Yesu hakukabidhiwa bibilia. Nyinyi bibilia mmeitoa wapi?
Kitu usichokielewa kwa ufupi ni kuwa, Mkristo wa kweli ni Muislam.Utamuhubiri kristo kabla ya safar ya mwisho
Si kweli, Uislam una waumini zaidi billion moja na nusu dyniani na wanauelewa vilivyo.Utasikilizaje kitu ambacho kati ya watu 200 wanaoelewa ni 10?
Kuwa Yesu, Alayhi salaam, ni mtume wa Mwenyezi Mungu na si Mungu.Uhalisia wake kivipi?
inategemea hizo longolongo umezichukuliaje kwasababu hata wengine nao wanashangaa unapomuombea Mohammad,wapo wengine nao wanashangaa kipindi kama hiki cha ramadhani unakuta aya za Quran zinasomwa na waumini wanaitikia amina ukiwauliza kama walikuwa wanaelewa wanajibu hapana kikubwa kuitikia tu,unakuta watu wanaenda maka wanaanza kurusha mawe eti wanampiga shetani je huu sio ujuha?Kitu usichokielewa kwa ufupi ni kuwa, Mkristo wa kweli ni Muislam.
Uislam ni mwema sana. Hakuna longolongo za kumuabudu binaadam mwenzako.
Si kweli, Uislam una waumini zaidi billion moja na nusu dyniani na wanauelewa vilivyo.
Uislam hauna longolongo.