Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

Wakuu natizama maadhimisho ya muungano,idadi ya watu mpaka Sasa ni ndogo mno kulingana tukio lenyewe,je ni uwepo wa mvua ama ni watanganyika kutokuona umuhimu wa tukio lenyewe na kukatishwa tamaa na jinsi mambo yanavyoendeshwa nchini? Maoni yenu wakuu.
Mvua kubwa ndio sababu !
Thats it !
Ila pia ingekuwa Simba na Yanga zinacheza nadhani wenye timu zao wasingehofia mvua 😅😅🙏🙏 !
 
nadhani kuna sehemu wapambe au washauri wa raisi wanachemka, hakukua na ulazima wa kufanyia maadhimisha jiji hili ambalo lina visa vya mvua yapata wiki ya pili sasa, hivi kilikua na sababu gani ya kutokuyafanyia makao makuu ya nchi ambapo mvua hazipo kwa sasa??
 
Mleta uzi sometimes punguza kuwa na akili finyu ina maana huoni mvua tena zimenyesha mfululizo siku ya 4 hii?

Sio uwanjani tu hata makanisani sikuhizi watu ni wachache sababu ya mvua.
sasa c wangesema watu wamfuatilie raisi kupitia runinga zao majumbani akihutubia kutoka ikulu kuliko kodi za watanzania zitapanywe tu
 
Usafiri wa shida ndugu yangu na mvua hizi 😁😁😁

IMG-20240423-WA0061.jpg


Yawezekana pia ikawa watu wamechoka na huu muungano au hawaoni faida yake - hasa Wadanganyika!

IMG-20240423-WA0116.jpg
 
Nadhani ishu si mvua pekee Kuna kaujumbe kanafikishwa na watanganyika
nadhani kuna sehemu wapambe au washauri wa raisi wanachemka, hakukua na ulazima wa kufanyia maadhimisha jiji hili ambalo lina visa vya mvua yapata wiki ya pili sasa, hivi kilikua na sababu gani ya kutokuyafanyia makao makuu ya nchi ambapo mvua hazipo kwa sasa??
 
Wakuu natizama maadhimisho ya muungano, idadi ya watu mpaka Sasa ni ndogo mno kulingana tukio lenyewe. Je, ni uwepo wa mvua ama ni watanganyika kutokuona umuhimu wa tukio lenyewe na kukatishwa tamaa na jinsi mambo yanavyoendeshwa nchini?

Maoni yenu wakuu.
Maamuzi yaliyofanyika kuhusu DP WORLD yaliwavunja sana moyo Watanzania
 
Mleta uzi sometimes punguza kuwa na akili finyu ina maana huoni mvua tena zimenyesha mfululizo siku ya 4 hii?

Sio uwanjani tu hata makanisani sikuhizi watu ni wachache sababu ya mvua.
ina maana wakazi wa temeke na kurasini sehemu ya karibu nao mvua? Wewe upo wapi mpaka useme temeke mvua sahiv?
 
Pamoja na kuwepo mvua kubwa RC Chalamila ajipime. Haya ni majukumu yake kuhakikisha sherehe zinafana mkoani kwake. Asilete janja janja.
 
Back
Top Bottom