Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

Kuna wakati baba wa taifa aliwaita wanamziki kuwa ni wahuni tuu kama wahuni wangine. Leo unawataka wahuni wasaidie kujaza
uwanja🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Nchi kibaaooo Afrika zimeendelea na hazina cha muungano wala Nini!! Tunataka maendeleo sio kung'ang'aniana....
Woga ulilazimisha muungano sasa tuache woga kilamtu ajenge nchi yake kiuchumi!
Kwanza muhindi anatutungiaje jina lanchi yaani TZ??
Tanganyika haipaswi kusahaulika na kupuuzwa uhuru na uwepo wake!
Ukakasi ni mwingi yaani hoja za muungano ni malalamiko ya upande mmoja tuu...
Mbona sisi Tanganyika wizara zisizo za muungano waziri anatokea upande wapili? Mbona wizara zao hatuendi kuziongoza sisi? Hii sihoja??
Nikinunua gari kwao ZNZ kuingia kwetu TN shida lkn wao wananunua hapo wanaenda kwao bila noma kwanini?
Mwisho, Tanganyika sehemu nyingi tuna maafa ya mafuriko kwasasa,najiuliza sherehe zanini huku wananchi wako hawana pa kukaa,chakula wala nguo? Auuu kwavileee...?
 
Nchi kibaaooo Afrika zimeendelea na hazina cha muungano wala Nini!! Tunataka maendeleo sio kung'ang'aniana....
Woga ulilazimisha muungano sasa tuache woga kilamtu ajenge nchi yake kiuchumi!
Kwanza muhindi anatutungiaje jina lanchi yaani TZ??
Tanganyika haipaswi kusahaulika na kupuuzwa uhuru na uwepo wake!
Ukakasi ni mwingi yaani hoja za muungano ni malalamiko ya upande mmoja tuu...
Mbona sisi Tanganyika wizara zisizo za muungano waziri anatokea upande wapili? Mbona wizara zao hatuendi kuziongoza sisi? Hii sihoja??
Nikinunua gari kwao ZNZ kuingia kwetu TN shida lkn wao wananunua hapo wanaenda kwao bila noma kwanini?
Mwisho, Tanganyika sehemu nyingi tuna maafa ya mafuriko kwasasa,najiuliza sherehe zanini huku wananchi wako hawana pa kukaa,chakula wala nguo? Auuu kwavileee...?
Mwamba je angekuwepo angefanyaje ??!! 🙏🙏
 
Kwanza muhindi anatutungiaje jina lanchi yaani TZ??

Ubaguzi siyo mzuri, tukianza kuwekeana ubaguzi huyu siyo hatutaishia hapo tukimaliza kundi moja tutaona haitoshi tutaanza kuwabagua makundi mengine.

Marekani kuna kila aina ya wamarekani wenye nasaba tofauti na wote wanahesabika ni waMarekani.

Dola madhubuti kama USA, China, Russia n.k haziangalii rangi ya mtu wote ni raia na kwa pamoja wanasonga mbele kwa kadri ya kipawa walichopewa kila raia.
 
Hakuna kipya! Labda watu wangekuja kushuhudia gwaride la majeshi yetu na wale Makomando wakivunja matofari kutishia watu watakaothubutu kuuvunja Muungano!
 
Hivi huko Marekani, Uingereza, Israel, North korea, Russia, China, Algeria n.k Maonyesho yao huwa ni hivihivi?
 
Kuna mambo mawili;
Mvua
Hisia za watu juu ya Muungano

Mvua: Watu hawana uhakika wa kula yao ya leo sababu ya hizo mvua zenu, bado unawataka wahudhurie maadhimisho hayo? Wapite kwenye barabara gani wakati miundombinu imeharibika, mitaa imejaa maji, ajali zimeongezeka, nyumba zinaelea kwenye maji na mvua zinaendelea kunyesha?
Nani aende uwankani kunyeshewa na mvua mwanzo mwisho. Timu za mpira zenyewe pia zina struggle kujaza viwanja sasa hivi.
Lile fungu ambalo CCM hupewa ili kukusanya watu na kuwasafirisha kwenda kwenye matukio kama hayo, safari hii limeliwa

Hisia za watu
Linaweza likawa ni jibu la watu juu ya Muungano. Wameamua kuukataa na kutoutambua kwa vitendo. Muungano hauna tija kwa wananchi zaidi ya kuwasababishia waishi na wenzao kwa kusimangwa kwa kila kitu utadhani labda wao ni wakinbizi au wakoloni tu.
Duuh hakika mkuu
 
Wakuu natizama maadhimisho ya muungano, idadi ya watu mpaka Sasa ni ndogo mno kulingana tukio lenyewe. Je, ni uwepo wa mvua ama ni watanganyika kutokuona umuhimu wa tukio lenyewe na kukatishwa tamaa na jinsi mambo yanavyoendeshwa nchini?

Maoni yenu wakuu.
Mkuu,
Umeona mvua dar es salama
 
Mbona maandamano ya Chadema na Lissu nayo hayakuwa na watu Singida na Manyara hamsemi mbona?
 
Back
Top Bottom