Maafisa usafirishaji (Bodaboda) wakimsindikiza Rais Samia Arusha

Maafisa usafirishaji (Bodaboda) wakimsindikiza Rais Samia Arusha

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri

68E4804E-BEFA-4595-BDA7-F749AD24C137.jpeg
98425FE9-87E1-49E2-8A4A-C5832B13E31B.jpeg


Chanzo: Ikulu
 
Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri

View attachment 2538128View attachment 2538129

Chanzo: Ikulu
Hii nchi kila mtu ni afisa. Kauli za unanijua mi nani zinarudi kwa kasi sana😀😀
 
Back
Top Bottom