Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Utasikia bodaboda wameitwa Ikulu soon, kenge wakubwa nyie, Lema ni level ya mbali sn, hakuna mchaga fala.Yeye ndiye kanyooka na Deni amelipiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia bodaboda wameitwa Ikulu soon, kenge wakubwa nyie, Lema ni level ya mbali sn, hakuna mchaga fala.Yeye ndiye kanyooka na Deni amelipiwa
Mkuu haipiti mwezi utasikia wameitwa Ikulu DarNimecheka hii kauli eti maafisa usafirishaji
Hawana akili, ndani ya mwezi huu wataitwa Ikulu kunywa juice. OverKundi hili limekuwa likitumika sana, na hapa wanaendelea kutumika.
Maafisa au uvccmMsafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri
View attachment 2538128View attachment 2538129
Chanzo: Ikulu
Maafisa au uvccm?Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri
View attachment 2538128View attachment 2538129
Chanzo: Ikulu
Kwani ili iwe kazi lazima afanye mtoto wa mbunge? Mbona hoja ya kijinga sana kwanini mnaing'ang'ania hivi hamuoni kama ni ujinga? Yani leo hii tukajifananishe na watoto wa wabunge?Kama ni kazi mtoto wa mbunge yupe anafanya hii kazi?
Mjinga babako, kwanini wasiache kazi BOT, Ikulu, Bandarini, TANAPA, TCRA, TRA waje kuendesha bodaboda sababu ni kazi nzuri?Kwani ili iwe kazi lazima afanye mtoto wa mbunge? Mbona hoja ya kijinga sana kwanini mnaing'ang'ania hivi hamuoni kama ni ujinga? Yani leo hii tukajifananishe na watoto wa wabunge?
Hao Chadema wenyewe huwa wanafurahi kuitwa Ikulu, we hauoni Mbowe alipotoka tu jela kaenda kwanza ikulu.Hawana akili, ndani ya mwezi huu wataitwa Ikulu kunywa juice. Over
Mchagga analipiwa deni!!Utasikia bodaboda wameitwa Ikulu soon, kenge wakubwa nyie, Lema ni level ya mbali sn, hakuna mchaga fala.
Mbona mumeo hajawahi fika Ikulu?Hao Chadema wenyewe huwa wanafurahi kuitwa Ikulu, we hauoni Mbowe alipotoka tu jela kaenda kwanza ikulu.
Mbona wewe hulipiwi?Mchagga analipiwa deni!!
Nyinyi simuliwatukana eti wamelaaniwaa?😂😂😂maafisa wa mchongo....
Mimi MromboMbona wewe hulipiwi?
Acha wapewe jina lenye heshima Kwa kuwa nao wanafanya KAZI KUBWA za heshima kwenye jamiii, unataka tuwafukane kama yule aliwatukana eti wameleenii? Baada ya kuwa wamempokea Kwa furaha KUBWA badala ya kuwa shukuru aliwaalaaniNimecheka hii kauli eti maafisa usafirishaji
Hakuna mrombo yupo UWT, wale ni wajanja snMimi Mrombo
Kuanzia leo nitatumia hiyo title mkuu nitawaita maafisa usafirishaji.Acha wapewe jina lenye heshima Kwa kuwa nao wanafanya KAZI KUBWA za heshima kwenye jamiii, unataka tuwafukane kama yule aliwatukana eti wameleenii? Baada ya kuwa wamempokea Kwa furaha KUBWA badala ya kuwa shukuru aliwaalaani
Wanafanya kazi huko kwa sababu wana elimu na mishahara ni minono na nafasi huzipata kupitia majina ya wazee wao, sasa unadhani watu wote wana sifa za kufanya kazi huko na kwamba kuna nafasi za kutosha wote kupata nafasi za kazi huko?Mjinga babako, kwanini wasiache kazi BOT, Ikulu, Bandarini, TANAPA, TCRA, TRA waje kuendesha bodaboda sababu ni kazi nzuri?