Maafisa usafirishaji (Bodaboda) wakimsindikiza Rais Samia Arusha

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri



Chanzo: Ikulu
 
Hii nchi kila mtu ni afisa. Kauli za unanijua mi nani zinarudi kwa kasi sana😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…