Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
ccm ndivyo wanavyopenda kupumbaza wajinga huku watoto wao wakitaftiwa kaz BOT.Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akielekea Usa River kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri
View attachment 2538128View attachment 2538129
Chanzo: Ikulu
Mungu akubariki ni vyemaa kutambua na kuheshim KAZI ya mtu mwinginee. Maaana IPO siku mwendesha bodabodaa naye atakujakuendesha scania. Hongera saanaKuanzia leo nitatumia hiyo title mkuu nitawaita maafisa usafirishaji.
Kuna madaraj kwenye jamaa,hakuna jamii iliyo sawa,huwezi sema hiyo ni kazi ya laana...na kuuza nyuchi iwe kazi gani!?..muwe mnafikiri kabla ya kufungua vinywaKama ni kazi mtoto wa mbunge yupe anafanya hii kazi?
Huna akili, kuna bodaboda wana masters, sifa ni kwa watoto wa Mawaziri, RCs, RASs, DCs, DASs, wabunge na vigogo wengine? au nafasi ni special kwao tu?Wanafanya kazi huko kwa sababu wana elimu na mishahara ni minono, sasa unadhani watu wote wana sifa za kufanya kazi huko na kwamba kuna nafasi za kutosha wote kupata nafasi za kazi huko?
yani chadema ijutie wakati lema alipomaliza mkutano pamoja na kutoa kauli hio alisindikizwa na bodaboda mpaka nyumban unless uwe huna hii taarifa by the way ccm ni wapuuz sana waulize kama mtoto wa madelu na mkumbo kama walikuwepo hapo.Chadema watajutia sana hii kauli
kwa,hio watoto wa mawazir hilo sio dara lao mtawatumia wajinga kuwaamin wenye akili hamtawapata.Kuna madaraj kwenye jamaa,hakuna jamii iliyo sawa,huwezi sema hiyo ni kazi ya laana...na kuuza nyuchi iwe kazi gani!?..muwe mnafikiri kabla ya kufungua vinywa
Kundi la laanaKundi hili limekuwa likitumika sana, na hapa wanaendelea kutumika.
Wewe unafikiri kila mtu ni punga kama wewe kwamba ana mume? Mimi ni mwanaume au wewe ndiyo yule askari wa zanzibar?Mbona mumeo hajawahi fika Ikulu?
mnaota na kujifariji tu subirini mje muone kwanza bodaboda wamewashtukia labda wale wajinga wajinga wa ccm ndo mtawanasa.2025 itamuwia Lema vigumu kutoboa hapo mjini maana technolojia itarejea alichosema 2023
Kwani kudai katiba umeona wapi watoto wa wanaohamasisha kudai katiba wakiwa mbele kwenye mapambano ya katibaKama ni kazi mtoto wa mbunge yupe anafanya hii kazi?
Kwa nini unaangalia watoto wa mawaziri tu na huangalii watoto wa matajiri Kama Azam,dewji nk!?..una chuki na wenye mamlaka!?...unataka kila mtu awe Waziri!?..fuvu lako umejaza nini,mavi!?kwa,hio watoto wa mawazir hilo sio dara lao mtawatumia wajinga kuwaamin wenye akili hamtawapata.
Jibu swali mumeo amewahi kuiwa Ikulu?Wewe unafikiri kila mtu ni punga kama wewe kwamba ana mume? Mimi ni mwanaume au wewe ndiyo yule askari wa zanzibar?
Ndio nakwambia kwenda ikulu si kitu kidogo ndio maana Mbowe break ya kwanza tu ikulu baada ya kutoka jela halafu wewe unaona ujinga.
Kwahiyo na mumeo naye ni bodaboda?Kwani kudai katiba umeona wapi watoto wa wanaohamasisha kudai katiba wakiwa mbele kwenye mapambano ya katiba
Au lini umewahi kuona viongozi wanahamasisha maandamano wakiwa mbele na familia zao
Alikuwa dokta Slaa na mkewe tu ndio nmewahi kuwaona kwenye harakati serious za namna hyo hadi wameumizwa wale.
mbowe alipotoka jera alienda kwake na sio ikulu acha tabia za kishoga wewe wadanganye mabwabwa wenzako huko ccm.Wewe unafikiri kila mtu ni punga kama wewe kwamba ana mume? Mimi ni mwanaume au wewe ndiyo yule askari wa zanzibar?
Ndio nakwambia kwenda ikulu si kitu kidogo ndio maana Mbowe break ya kwanza tu ikulu baada ya kutoka jela halafu wewe unaona ujinga.
Si hoja ni dharau, kule kusema ni laana ndio tatizo lilipo angeweza kueleza hoja yake bila kuwadharau.
Kazi za kilaana hizo ni vile tu.hawana namnaKuna madaraj kwenye jamaa,hakuna jamii iliyo sawa,huwezi sema hiyo ni kazi ya laana...na kuuza nyuchi iwe kazi gani!?..muwe mnafikiri kabla ya kufungua vinywa
Sasa tujibu hao watoto wa viongozi huwa wanajazana hapo kwenye hiyo mikutano au hao wenye kazi za laana ndio hujazana na kusimama juani kwenye hiyo mikutano? Unafikiri hao wote wangekuwa wanafanya kazi huko BOT na TRA hiyo mikutano yenu mngewajaza akina nani?yani chadema ijutie wakati lema alipomaliza mkutano pamoja na kutoa kauli hio alisindikizwa na bodaboda mpaka nyumban unless uwe huna hii taarifa by the way ccm ni wapuuz sana waulize kama mtoto wa madelu na mkumbo kama walikuwepo hapo.
watafanyaje boda wako wangapi nchi hii waendelee kuchagua ccm waone watakavyoendelea kupigika kwa upuuz wa ccm.Si hoja ni dharau, kule kusema ni laana ndio tatizo lilipo angeweza kueleza hoja yake bila kuwadharau.
Hawana namna kvp wakati kazi zengine zipo kuna kazi za viwandani huko na zengineo? Hebu fafanua.Kazi za kilaana hizo ni vile tu.hawana namna
Hakuna viwanda na nafasi zilizopo wamezikosaHawana namna kvp wakati kazi zengine zipo kuna kazi za viwandani huko na zengineo? Hebu fafanua.