mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatuma majasusi wa kihuni wamtunguwe tuAu Brazil maana hakuna Interpol huko
Aseeeeeee 😂 😂hivi huko duniani wenyewe vibahasha vya kaki havifanyi kazi kama huku?
Mbona Dangote hafanyi hayo,ushamba ni kitu mtu anazaliwa nacho...Ni ushamba ingawa wamezaliwa mjini
Ndio maana weupe watabaki kuwa matajiri duniani
Mweusi anawaza ngono na party tu lakini hela wanazopata ni ndefu sana kiasi wanaweza hata kuanzisha mji wake
Wanachezea hela sana hawa jamaa
Mike Tyson leo choka mbaya ila enzi zake alikuwa anaona hata kusubiri ndege airport anaona anachelewa kula demu anaamua kuchukua private jet na kula Bata
Tuna laana mahali fulani ila hatujui
Tulia wewe swahabaBlack Americans ndio watu wa hovyo kweny nchi za watu ,kuna Maghayo umeenda kubeba box acha ugaidi
Puffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uoneHiphop Haifi kamwe
Ova
Tulia wewe swahaba
Hiphop itabaki hiphopPuffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uone
Jinai haifi ....ni swala la mda tu mkuuAcha kabisa tena na kusifiwa juu na ukada kabisa.
Ndiyo maana nakwambia Hip Hop is Dead. Miaka 5 ijayo wasanii watano wakubwa watakuwa kama Lil Nas X kwa hiyo hata hao underground wataenda kufanya shughuli nyingine ili wasihusishwe na aina hiyo ya muziki.Hiphop itabaki hiphop
Puffy hawakilishi pure hiphop
Wanasanii wanaoimba hiphop
Halisi si mmewqbania hjko kwenye masoko
Ova
HAhahahaahhivi huko duniani wenyewe vibahasha vya kaki havifanyi kazi kama huku?
Mweusi akipata hela kwa mziki lazima aingie ukahaba na drugs sijui kwanini
Halafu wakikamatwa wanasema tunaonewa
Haya R Kelly ananyea debe na huyu karibuni atafilisika halafu sisi wa Buza tutalia na kusema kisa black wamemuwekea mtego
Mbona kina Denzel wana heshima zao?
Brazil atauzwa urusi anapewa na ulinziAu Brazil maana hakuna Interpol huko
We jamaa utakua ni muha toka kigomaMkuu umesema vya ukweli kabisa Damu ya Mtu haiendi bure kabisa itamlilia aliye imwaga hata ajifiche wapi italia nae tu.
Diddy alikuwa tayari akutane na bibie wayajenge. Unafikiri angekuwa anasingiziwa angekubali wayajenge na mtu ambaye anaharibu reputation yake?Ulikuwepo? Uliona hiyo treatment? Unao ushahidi utuwekee hapa?