Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Ni ushamba ingawa wamezaliwa mjini
Ndio maana weupe watabaki kuwa matajiri duniani
Mweusi anawaza ngono na party tu lakini hela wanazopata ni ndefu sana kiasi wanaweza hata kuanzisha mji wake
Wanachezea hela sana hawa jamaa
Mike Tyson leo choka mbaya ila enzi zake alikuwa anaona hata kusubiri ndege airport anaona anachelewa kula demu anaamua kuchukua private jet na kula Bata

Tuna laana mahali fulani ila hatujui
Mbona Dangote hafanyi hayo,ushamba ni kitu mtu anazaliwa nacho...
 
Tulia wewe swahaba

Vijana tumewatendea wema sana ,mnashirikiana kulewa picha mbaya ,ndio maana Qur an ilikataa kuwafanya marafiki ndio mnaleta maafa mpala leo.

Kweli wala nguruwe ni ndugu tena makatili🤣🤣
Screenshot_20240325-162631.png

Screenshot_20240325-162609.png

Screenshot_20240325-162543.png
 
Puffy ni moja ya face ya Hip Hop. Tuhuma zikithibitishwa Hip Hop haiwezi kuwa ile ile tena kamwe. Ni zama mpya hizi, subiri uone
Hiphop itabaki hiphop
Puffy hawakilishi pure hiphop
Wanasanii wanaoimba hiphop
Halisi si mmewqbania hjko kwenye masoko

Ova
 
Hiphop itabaki hiphop
Puffy hawakilishi pure hiphop
Wanasanii wanaoimba hiphop
Halisi si mmewqbania hjko kwenye masoko

Ova
Ndiyo maana nakwambia Hip Hop is Dead. Miaka 5 ijayo wasanii watano wakubwa watakuwa kama Lil Nas X kwa hiyo hata hao underground wataenda kufanya shughuli nyingine ili wasihusishwe na aina hiyo ya muziki.

Jay-Z mwenyewe ni suala la muda tu kabla naye hajachafua hali ya hewa.
 
Mweusi akipata hela kwa mziki lazima aingie ukahaba na drugs sijui kwanini
Halafu wakikamatwa wanasema tunaonewa
Haya R Kelly ananyea debe na huyu karibuni atafilisika halafu sisi wa Buza tutalia na kusema kisa black wamemuwekea mtego
Mbona kina Denzel wana heshima zao?

Hao wanamuziki wengi wao wahuni tu, mbona akina Muhammed Alli wamekufa na heshima zao ila wanamuziki wengi wahuni kama nyimbo zao zilivyo
 
Aisee hadi raha wenzetu sheria zao zinakata pote pote ingekuwa Tz tungekuwa mbali
 
Back
Top Bottom