Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Haya mambo ya kuandaa mahouse parties majumbani unaita watu mbali mbali,piga pombeanayevuta unga atavuta,watu humo ni kusex kubakana nk
Lazima kama unafanya hivyo iko siku itakutokea puani

Ova
Bongo wangefungwa wengi sana kwasababu imagine wale jamaa wa Njombe waliobaka wake zao na kuwaingilia kinyume na maumbile unadhani ni wanawake wangapi hapa Tz wanafanyiwa hayo lakini wanapiga tu kimya ili ndoa ziende?! Fikiria domestic violence wanazofanyiwa wanawake kwenye ndoa zao?! Fikiria unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika maeneo mbalimbali hadi huko maofsini na sehemu za kazi na maeneo ya starehe. Mimi nawaza tu ile umemtongoza mwanamke kakukataa unatumia cheo chako ili umpe favor flan ya kazi, msaada, marks vyuoni mwetu. Then siku moja anakuja kukuripua mahakamani miaka ya mbele huko na bahati mbaya zaidi kipindi hicho labda Mungu ameshakubariki kua kiongozi ama ushakua tajiri na una fame na heshima kwenye jamii. Ni wangapi wangepona?! Ama tu tuseme unamchukua mdada kwa makubaliano kabsa then unaenda kumfanyia ufirauni huko anatulia. Siku moja umekua na jina kwenye jamii anakuja kukufungulia kesi, ni wangapi wangepona?! Maana yangu ni kwamba kibongo violence ipo kwa kiwango cha juu sana kwa wanawake lakini tu sheria/ mahakama zetu ziko very weak. Viongozi/ masela wangapi wamezaa na wanawake na mahouse girl wao na kutelekeza watoto?! Kuna siku moja napiga stori na rafiki yangu anafanya kazi chuo flan hapa Tz ana cheo flan kwenye hicho chuo, so kulingana na cheo chake anakutana sana na wanafunzi mara kwa mara nje ya kufundisha. So tumekaa pale Ofsini kwake ingia toka ya wanafunzi ilikua ya kiwango cha juu sana nikawa namuuliza anawezaje kujizuia na vishawishi vya watoto wa kike kwa nature ya kazi yake. Jamaa alinijibu tu kwamba, issue wala sio vishawishi, usipokua makini hawa watoto watakuja kuharibu future yako wala madhara sio ya leo. Akasema imagine umetumia nafasi yako kutoka nao wengi tofauti tofauti then let say huko mbeleni ukaja kua nafasi kubwa kwenye jamii (public figure). Hao watoto muda huo ni wanawake wakubwa wanaweza kutumia historia yako kukuharibia image yako kwa kudisplay namna ulivyotumia cheo chako kufanya mambo machafu lakini pia wanaweza kutumika na maadui zako kukuchafua. Sasa kwa wenzetu huko nje wanaweza kufile kesi dizaini hiyo hiyo ya akina R Kelly na Diddy. Anyways nilijifunza kitu ambacho wengi tunasahau sana tunadhani tutabaki hivi hivi siku zote. Tunasahau kuna siku tunaweza jikuta watu flan kwenye jamii hapo ndo unakumbuka uchafu ulikua unafanya na teknolojia ya sasa kila kitu watu wanasave
 
Brazil atauzwa urusi anapewa na ulinzi
Zamani kuna waingereza walijipatia umaarufu mwaka 1963 waliiba hela kwenye train nyingi sana
Mpaka wakaleta na movie The Great Train Robbery

Mmoja alitoroka na kwenda Brazil miaka kibao akila Bata
Alipozeeka na hela zimeisha na maradhi kibao akaamua kurudi nchini 🇬🇧 na gazeti la sun kwa unoko walienda kumbeba na ndege private na kuleta London kufika tu polisi wakamdaka wakampeleka mahakamani na kifungo
 
Na hivi 50 cent hampendi huyo Jamaa, basi ata koma aisee😀
Screenshot_20240326-123054.png
 
Huku tunamtaka mpaka ex president Trump.

Kama watu wamemfanya a sitting president Nixon mpaka kajiuzulu, wakikwambia "nobody is above the law" unaweza kuwa entertain kidogo hata kama bado kuna mapungufu mengi.
Hiyo pizza gate inamhusu Clinton na wakubwa kibao, Tuone Na wao kama watakamatwa, kila nchi kuna Deepstate na watu walio juu ya sheria. Issue ya Sex trafficking ipo sana Usa na inawahusu wakubwa na masuper star wengi.
 
Jamaa alifanikiwa kibishara akawa Bilionaire lakini inaonyesha akili yake ni ya kitoto tu. Sasa anadhani anaweza kuikimbia serikali ya Marekani kwenda kujificha Antigua kweli? Kwa kawaida ukiwakimbia polisi ndipo unawapa confidence kuwa kweli una hatia
yule russel simon alikimbilia tailand nadhani mpk now ni 10 years. Na alikua mwanae sana
 
Hiyo pizza gate inamhusu Clinton na wakubwa kibao, Tuone Na wao kama watakamatwa, kila nchi kuna Deepstate na watu walio juu ya sheria. Issue ya Sex trafficking ipo sana Usa na inawahusu wakubwa na masuper star wengi.
akina clintons wanajulikana kwa sex traficking sema wale ni namba kubwa. ndio maana yule bilionea aliefia gerezani....alikiwa mtu wa wao sana. human sex trafficking hasa kwa watoto wadogo ni bizness kubwa sana kwa hawa wakubwa wadunia. hata huyo diddy kuna kitu kawatibua ndio maana wameruka nae but bila hvy ingeisha kama ilivyokuja.......
wasiogusika hata hapo US wapo THE ELITES
 
Jamaa alifanikiwa kibishara akawa Bilionaire lakini inaonyesha akili yake ni ya kitoto tu. Sasa anadhani anaweza kuikimbia serikali ya Marekani kwenda kujificha Antigua kweli? Kwa kawaida ukiwakimbia polisi ndipo unawapa confidence kuwa kweli una hatia
Report za Leo, hakuepo kwenye hio ndege ilioenda Antigua, Bali alipanda Ndege nyengine Miami, hio ndege pengine imetorosha evidence tu.
 
Bongo wangefungwa wengi sana kwasababu imagine wale jamaa wa Njombe waliobaka wake zao na kuwaingilia kinyume na maumbile unadhani ni wanawake wangapi hapa Tz wanafanyiwa hayo lakini wanapiga tu kimya ili ndoa ziende?! Fikiria domestic violence wanazofanyiwa wanawake kwenye ndoa zao?! Fikiria unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika maeneo mbalimbali hadi huko maofsini na sehemu za kazi na maeneo ya starehe. Mimi nawaza tu ile umemtongoza mwanamke kakukataa unatumia cheo chako ili umpe favor flan ya kazi, msaada, marks vyuoni mwetu. Then siku moja anakuja kukuripua mahakamani miaka ya mbele huko na bahati mbaya zaidi kipindi hicho labda Mungu ameshakubariki kua kiongozi ama ushakua tajiri na una fame na heshima kwenye jamii. Ni wangapi wangepona?! Ama tu tuseme unamchukua mdada kwa makubaliano kabsa then unaenda kumfanyia ufirauni huko anatulia. Siku moja umekua na jina kwenye jamii anakuja kukufungulia kesi, ni wangapi wangepona?! Maana yangu ni kwamba kibongo violence ipo kwa kiwango cha juu sana kwa wanawake lakini tu sheria/ mahakama zetu ziko very weak. Viongozi/ masela wangapi wamezaa na wanawake na mahouse girl wao na kutelekeza watoto?! Kuna siku moja napiga stori na rafiki yangu anafanya kazi chuo flan hapa Tz ana cheo flan kwenye hicho chuo, so kulingana na cheo chake anakutana sana na wanafunzi mara kwa mara nje ya kufundisha. So tumekaa pale Ofsini kwake ingia toka ya wanafunzi ilikua ya kiwango cha juu sana nikawa namuuliza anawezaje kujizuia na vishawishi vya watoto wa kike kwa nature ya kazi yake. Jamaa alinijibu tu kwamba, issue wala sio vishawishi, usipokua makini hawa watoto watakuja kuharibu future yako wala madhara sio ya leo. Akasema imagine umetumia nafasi yako kutoka nao wengi tofauti tofauti then let say huko mbeleni ukaja kua nafasi kubwa kwenye jamii (public figure). Hao watoto muda huo ni wanawake wakubwa wanaweza kutumia historia yako kukuharibia image yako kwa kudisplay namna ulivyotumia cheo chako kufanya mambo machafu lakini pia wanaweza kutumika na maadui zako kukuchafua. Sasa kwa wenzetu huko nje wanaweza kufile kesi dizaini hiyo hiyo ya akina R Kelly na Diddy. Anyways nilijifunza kitu ambacho wengi tunasahau sana tunadhani tutabaki hivi hivi siku zote. Tunasahau kuna siku tunaweza jikuta watu flan kwenye jamii hapo ndo unakumbuka uchafu ulikua unafanya na teknolojia ya sasa kila kitu watu wanasave

Umeongea point kubwa sana, sisi hapa tunashadadia sana kana kwamba sisi ni malaika, lakini fikiria jinsi watu wanavyofanya machafu na watoto wa shule, yaani wanafunzi wengi under age watu wanawala sana kiasi kwamba zikija kuibuka ishu kama za mbele huko aisee wengi watazama ndani kama sio wote
 
Hiyo pizza gate inamhusu Clinton na wakubwa kibao, Tuone Na wao kama watakamatwa, kila nchi kuna Deepstate na watu walio juu ya sheria. Issue ya Sex trafficking ipo sana Usa na inawahusu wakubwa na masuper star wengi.
Pizzagate ishakuwa debunked na kuoneshwa kwamba ilikuwa hoax miaka mingi sana, unaishi dunia gani mkuu?
 
Back
Top Bottom