Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

Pizzagate ni nini, tuanzie hapo.
Pizzagate unaweza kusoma hapa

Issue sio hio conspiracy theory yenyewe, issue ni hizo Email ambazo Asange alizi leak, mpaka Kesho Hilary Clinton hajazikataa. Na kutokana na hizo Emails zimekuja kuprove sasa hizo traficking za Zamani.
 
Pizzagate unaweza kusoma hapa

Issue sio hio conspiracy theory yenyewe, issue ni hizo Email ambazo Asange alizi leak, mpaka Kesho Hilary Clinton hajazikataa. Na kutokana na hizo Emails zimekuja kuprove sasa hizo traficking za Zamani.
Umegundua Pizzagate ni uharo mtupu, sasa unahamisha magoli.

Kwani mimi nimekuuliza email au Pizzagate?
 
Sijahamisha Magoli, toka mwanzo comment yangu ipo specific na mpaka event nimezitaja kuanzia Afghanistan mpaka Haiti, tatizo lako unataka Nidiscuss unachotaka wewe. Usiku kwema, Ubishi wako siuwezi.
Pizzagate is a very specific thing, which has been very thoroughly debunked.

Ukikitumia hili neno kama kitu credible unaonekana conspiracy theorist tu.


"Pizzagate" is a conspiracy theory that went viral during the 2016 United States presidential election cycle, falsely claiming that the New York City Police Department (NYPD) had discovered a pedophilia ring linked to members of the Democratic Party while searching through Anthony Weiner's emails.[1][2][3] It has been extensively discredited by a wide range of organizations, including the Washington, D.C. police.[2][3][4]
 
JUST IN: Rapper Diddy's private jet has been tracked to the Caribbean islands after his homes were raided in relation to a s*x trafficking investigation.

The jet appeared to land on Antigua in the Caribbean according to flight tracking data.

At the moment, it is unknown if Diddy is actually on the plane or not.

TMZ is reporting that the jet "currently grounded" on Antigua.

"The plane is currently grounded there, although the flight data has yet to update and register him as having officially landed. In any case, it's definitely Diddy's jet ... no question," they reported.

Diddy's LA and Miami homes were raided on Monday in relation to a federal investigation into s*x trafficking, narcotics as well as firearms.


======================

MAREKANI: USALAMA WAVAMIA NYUMBA ZA DIDDY, MWENYEWE HAJULIKANI ALIPO
Nyumba ya Mfanyabiashara na Mwanamuziki Sean ‘Diddy’ Combs zilizopo Los Angeles na Miami zimevamiwa na Maafisa Usalama ikidaiwa wanafanya uchunguzi na upekuzi kuhusu tuhuma za Biashara ya Ngono na Biashara ya Binadamu zinazotajwa kuhusu staa huyo.

Maafisa wa HSI ambacho ni Chombo Kikuu cha Uchunguzi cha Idara ya Usalama wa Taifa ya Marekani wamewafunga pingu baadhi ya Watu waliokutwa katika nyumba ya Los Angeles wakiwemo Watoto wa Diddy ambao ni King na Justin huku baba yao akiwa hajulikani alipo.

Wakati hayo yakiendelea inadaiwa ndege Binafsi ya Diddy imeonekana ikiwa njiani kuelekea Visiwa vya Caribbean kwa mujibu wa Tovuti ya Flight Tracking Data.
Hivi hawa 'weusi' wa huko wana matatizo gani?

Vyanzo vya mapato vinakuwa vishawanyookea kuweza kupata mwanamke yeyote kwa gharama yoyote, lakini kwao haitoshi, mpaka waende 'next level'(ref to R Kelly and Michael Jackson)!

Sasa hii kuishi kwa kuruka ruka kama popo ili kukwepa mkono wa chuma atayaweza kabla ya kushitukia kajinasa kwenye mtego wa simba?
 
JUST IN: Rapper Diddy's private jet has been tracked to the Caribbean islands after his homes were raided in relation to a s*x trafficking investigation.

The jet appeared to land on Antigua in the Caribbean according to flight tracking data.

At the moment, it is unknown if Diddy is actually on the plane or not.

TMZ is reporting that the jet "currently grounded" on Antigua.

"The plane is currently grounded there, although the flight data has yet to update and register him as having officially landed. In any case, it's definitely Diddy's jet ... no question," they reported.

Diddy's LA and Miami homes were raided on Monday in relation to a federal investigation into s*x trafficking, narcotics as well as firearms.


======================

MAREKANI: USALAMA WAVAMIA NYUMBA ZA DIDDY, MWENYEWE HAJULIKANI ALIPO
Nyumba ya Mfanyabiashara na Mwanamuziki Sean ‘Diddy’ Combs zilizopo Los Angeles na Miami zimevamiwa na Maafisa Usalama ikidaiwa wanafanya uchunguzi na upekuzi kuhusu tuhuma za Biashara ya Ngono na Biashara ya Binadamu zinazotajwa kuhusu staa huyo.

Maafisa wa HSI ambacho ni Chombo Kikuu cha Uchunguzi cha Idara ya Usalama wa Taifa ya Marekani wamewafunga pingu baadhi ya Watu waliokutwa katika nyumba ya Los Angeles wakiwemo Watoto wa Diddy ambao ni King na Justin huku baba yao akiwa hajulikani alipo.

Wakati hayo yakiendelea inadaiwa ndege Binafsi ya Diddy imeonekana ikiwa njiani kuelekea Visiwa vya Caribbean kwa mujibu wa Tovuti ya Flight Tracking Data.
Dah!.....kashakimbia huyo.
 

Attachments

  • IMG_3205.png
    IMG_3205.png
    5.8 MB · Views: 5
Ni ushamba ingawa wamezaliwa mjini
Ndio maana weupe watabaki kuwa matajiri duniani
Mweusi anawaza ngono na party tu lakini hela wanazopata ni ndefu sana kiasi wanaweza hata kuanzisha mji wake
Wanachezea hela sana hawa jamaa
Mike Tyson leo choka mbaya ila enzi zake alikuwa anaona hata kusubiri ndege airport anaona anachelewa kula demu anaamua kuchukua private jet na kula Bata

Tuna laana mahali fulani ila hatujui
Nimekusoma ila hapo uliposema Tyson kwa sasa choka mbaya sio kweli. Jamaa ana mawe ya kufa paka kwa sasa. Fuatilia habari utajua
 
Hawa jmaa wakiwa kwenye vilele vya mafaniko yao huwa kuna vtu vngi vya hvyo wanafanya ikiwemo huu udhalilishaji wao wanaona ni sehemu tu ya umaarufu na pesa walizonazo lkn hv vtu kwa wazungu ni silaha baadae huja kuvitumia kuwaangamizia wakizingua tu kuna wakat huyu jamaa alipishna na Kanye kuhusu zile fulana alizozndua kuwapaisha wazungu wakati huohuo bkack wanauliwa kwa wingi ukizingatia jmaa anaushawishi lazima wakutafutie timing tu
 
Nimekusoma ila hapo uliposema Tyson kwa sasa choka mbaya sio kweli. Jamaa ana mawe ya kufa paka kwa sasa. Fuatilia habari
Mkuu ni kweli anazo ila ukifananisha alizokuwa nazo kutoka $300m na kuzichezea mpaka 10m ni ujinga sana

Nilichomekea tu ila kwa leo kama angezitumia kwa akili angekuwa mbali sana
Nilikuwa nawasema Blacks wakizipata wao ni starehe tu nothing else
Anapigana tena kutafuta hela
 
Ndiyo maana nakwambia Hip Hop is Dead. Miaka 5 ijayo wasanii watano wakubwa watakuwa kama Lil Nas X kwa hiyo hata hao underground wataenda kufanya shughuli nyingine ili wasihusishwe na aina hiyo ya muziki.

Jay-Z mwenyewe ni suala la muda tu kabla naye hajachafua hali ya hewa.
Jay Z naye ana tabia ya kuandaa house party ?
 
Hata wajukuu zao hawawez kukamatwa mkuu yamkute mjukuu wamzee mahita anabangi utampeleka kituo gani awekwe ndani hii nchi cheo zamana labda uwe nabifu namkuu alieshika nchi
Kuna dogo mmoja mtoto wa Mahita alikuwa anafanya fujo sana Segerea, lakini ndiyo kama unavyosema.
 
Huku tunamtaka mpaka ex president Trump.

Kama watu wamemfanya a sitting president Nixon mpaka kajiuzulu, wakikwambia "nobody is above the law" unaweza kuwa entertain kidogo hata kama bado kuna mapungufu mengi.
Si mchezo Jamaa huko wanajitahidi kwa kiasi chake yaani kukomalia matajiri na watu waliowahi kuwa na power kubwa si kitu cha mchezo mchezo.
 
Mkuu ni kweli anazo ila ukifananisha alizokuwa nazo kutoka $300m na kuzichezea mpaka 10m ni ujinga sana

Nilichomekea tu ila kwa leo kama angezitumia kwa akili angekuwa mbali sana
Nilikuwa nawasema Blacks wakizipata wao ni starehe tu nothing else
Anapigana tena kutafuta hela
OK nimekusoma Tyson by now ana mkwanja kutokana na biashara halali ya bangi. Ulipomtolea mfano kama mtu aliyepotea ndio hapo tulishangaa kidogo maana amerudi kwenye mstari kama mwanzo
 
OK nimekusoma Tyson by now ana mkwanja kutokana na biashara halali ya bangi. Ulipomtolea mfano kama mtu aliyepotea ndio hapo tulishangaa kidogo maana amerudi kwenye mstari kama mwanzo
Na hapo kapatia haswa kwenye ganja
Daa kweli aliamua ila ni hivi karibuni kaanza yaani mpaka Amsterdam
 
Back
Top Bottom