Mchungaji mmoja huko Mbeya amefungwa jela kwa kuhubiri Injili , lakini kuna mwanaccm mmoja huko Manyara ameachiwa huru pamoja na ushahidi mwanana wa kuwapachika watu chupa makalioni
View attachment 2857896
Toa maoni yako
Huyo hakufungwa kwa kuhubiri injili! Aliwakwaza watawala, alitaka kuwaamusha waliolala wadanganyika, kwa, kuleta"uchochezi"ikabidi nguvu za dola zitumike kumtuliza, na kutisha wengine ambao wanataka kufata mfsno wake! Kama ni, injili tu, mbona Mwamposa, hakamatwi! Ishu sio, injili! Unaweza, ukawa, jambazi, cha msingi kula na, watawala, uwe na mchango kwao! Uta kula, raha tu!
Huyo gekul, ni, takataka tu, kesi, yake inatumika kisiasa tu, Hana, tofsuti na ole rengai, makonda, sasa, hv, anatafunwa kama big G, utamu ukiisha, anatupwa