mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Mzee wa filamu pendwaTapel kubwa lile
Wee vipi ukisha kosa kuoa au kuolewa itakugharimu maishani mwako,lakini maneno ya Gwajiboy hayawezi kuninyima hata usingizi.Kosea Kuoa/Kuolewa
Ila Usikosee Kuchagua!! Gwajima Chali
Hizo poyoyo nani anauthibitusho nazo? Gwajima kanisa lake halina mahali lipohakikiwa kama sadaka zake zinasaidia kueneza injili kwa sababu kanisa lake halina usimamizi wa kitaasisi kama zingine.ule ni mradi wake binafsiPesa za sadaka + fungu la kumi kazi yake ni kumlipa yeye mshahara tena ule wa kawaida na zinazobakia ni kueneza injili duniani kote hadi vijijini.
Kazi ya sadaka si kujenga barabara ya umma, hapa mtu wa Mungu amekosea kabisa, huu si Ukristo. Pesa za sadaka ni mali ya kanisa na si mali ya Mchungaji, Askofu ama Paroko.
Kanisa lake hili hapaWana JF
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi. Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Unajua yule dada alisema ni 'Muhuni wa Kitaa'! Huyo dada si ndiyo atawavuruga Kawe kabisa akiruhusiwa kwenye sanduku la kura kuendelea kuwa Mbunge?Hakuna mahali tapeli amewahi kuwa mkweli hata kwa kwake mwenyewe