Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Askofu wa wajinga kuweni waangalifu naye namjua vizuri ni mtu hatari sana.
Wana JF

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi. Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia
Hakuna mahali tapeli amewahi kuwa mkweli hata kwa kwake mwenyewe
sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!
Wapinzani bwana hamna hoja kabisa
Gwajima Mungu ameamua kumdhalilisha hadharani
Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
 
Pesa za sadaka + fungu la kumi kazi yake ni kumlipa yeye mshahara tena ule wa kawaida na zinazobakia ni kueneza injili duniani kote hadi vijijini.

Kazi ya sadaka si kujenga barabara ya umma, hapa mtu wa Mungu amekosea kabisa, huu si Ukristo. Pesa za sadaka ni mali ya kanisa na si mali ya Mchungaji, Askofu ama Paroko.
Kumbe Gwajima ni mkristo? Kweli sikuwahi kujua.
 
Pesa za sadaka + fungu la kumi kazi yake ni kumlipa yeye mshahara tena ule wa kawaida na zinazobakia ni kueneza injili duniani kote hadi vijijini.

Kazi ya sadaka si kujenga barabara ya umma, hapa mtu wa Mungu amekosea kabisa, huu si Ukristo. Pesa za sadaka ni mali ya kanisa na si mali ya Mchungaji, Askofu ama Paroko.
Yeye kasema atajenga kwa hela yake binafsi wewe unaanza kuleta hesabu za sadaka. Kuwa na amani na matumizi ya sadaka yako mkuu
 
Askofu wa wajinga kuweni waangalifu naye namjua vizuri ni mtu hatari sana.
Nani kakuuliza kama unamjua? Wajinga gani unaowazungumzia? Leta ushahidi wa uhatari wa uyo askofu wa wajinga
 
Dah aise jamaa Ahadi zake
Sawa na zile za ndiyoooo mzeee

Ova
 
Umekosa majibu unahamisha mjadala sawa bwana umesomeka na story zako za vijiweni
Sijui nani mwenye akili nzuri anayeweza kumtetea huyu mkabila mkubwa anayejulikana barabara kwa kutaka kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila. Nani atamsapoti mtu huyu kwa kauli zake chafu na matusi hata kwa viongozi wengine wa dini wakati hawakumkosea. Niishie hapo ni mengi mno kuhusu askofu wa wajinga.
 
Wana JF,

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.

Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Conman!
 
Sijui nani mwenye akili nzuri anayeweza kumtetea huyu mkabila mkubwa anayejulikana barabara kwa kutaka kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila. Nani atamsapoti mtu huyu kwa kauli zake chafu na matusi hata kwa viongozi wengine wa dini wakati hawakumkosea. Niishie hapo ni mengi mno kuhusu askofu wa wajinga.
Sasa wewe na yeye mnatofauti gani maana hata wewe unatumia kauli chafu na matusi kumuelezea "askofu wa wajinga".
 
Wana JF,

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.

Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
kwani halima mdee ni maendeleo gani ameleta tangu awe mbunge wa kawe?lazima abadirike tuone na huyu atawezaje kuwatetea wana kawe
 
Back
Top Bottom