TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Ila uko tayari kumuamini, anayejitangaza rasmi yeye ni muhuni wa Kitaa! Maajabu hayeshi!unaweza kumwamini Gwajima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila uko tayari kumuamini, anayejitangaza rasmi yeye ni muhuni wa Kitaa! Maajabu hayeshi!unaweza kumwamini Gwajima?
Wana JF
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi. Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia
Hakuna mahali tapeli amewahi kuwa mkweli hata kwa kwake mwenyewe
sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!
Wapinzani bwana hamna hoja kabisa
Gwajima Mungu ameamua kumdhalilisha hadharani
Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
Mzee wa Xvidz,youpo.n na Xhamst.rMzee wa filamu pendwa
LAZIMA BIBI KIDUDE ARUDI KWAO ROMBO KUUZA MBEGEE. HAMNA NAMNA.Kosea Kuoa/Kuolewa
Ila Usikosee Kuchagua!! Gwajima Chali
Kumbe Gwajima ni mkristo? Kweli sikuwahi kujua.Pesa za sadaka + fungu la kumi kazi yake ni kumlipa yeye mshahara tena ule wa kawaida na zinazobakia ni kueneza injili duniani kote hadi vijijini.
Kazi ya sadaka si kujenga barabara ya umma, hapa mtu wa Mungu amekosea kabisa, huu si Ukristo. Pesa za sadaka ni mali ya kanisa na si mali ya Mchungaji, Askofu ama Paroko.
kwa kweli, sijui waliwaza nini?Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
Yeye kasema atajenga kwa hela yake binafsi wewe unaanza kuleta hesabu za sadaka. Kuwa na amani na matumizi ya sadaka yako mkuuPesa za sadaka + fungu la kumi kazi yake ni kumlipa yeye mshahara tena ule wa kawaida na zinazobakia ni kueneza injili duniani kote hadi vijijini.
Kazi ya sadaka si kujenga barabara ya umma, hapa mtu wa Mungu amekosea kabisa, huu si Ukristo. Pesa za sadaka ni mali ya kanisa na si mali ya Mchungaji, Askofu ama Paroko.
Nani kakuuliza kama unamjua? Wajinga gani unaowazungumzia? Leta ushahidi wa uhatari wa uyo askofu wa wajingaAskofu wa wajinga kuweni waangalifu naye namjua vizuri ni mtu hatari sana.
Endelea kuwa chini ya miguu yake.Nani kakuuliza kama unamjua? Wajinga gani unaowazungumzia? Leta ushahidi wa uhatari wa uyo askofu wa wajinga
Umekosa majibu unahamisha mjadala sawa bwana umesomeka na story zako za vijiweniEndelea kuwa chini ya miguu yake.
HahahaHakuna mahali tapeli amewahi kuwa mkweli hata kwa kwake mwenyewe
Sijui nani mwenye akili nzuri anayeweza kumtetea huyu mkabila mkubwa anayejulikana barabara kwa kutaka kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila. Nani atamsapoti mtu huyu kwa kauli zake chafu na matusi hata kwa viongozi wengine wa dini wakati hawakumkosea. Niishie hapo ni mengi mno kuhusu askofu wa wajinga.Umekosa majibu unahamisha mjadala sawa bwana umesomeka na story zako za vijiweni
Conman!Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Sasa wewe na yeye mnatofauti gani maana hata wewe unatumia kauli chafu na matusi kumuelezea "askofu wa wajinga".Sijui nani mwenye akili nzuri anayeweza kumtetea huyu mkabila mkubwa anayejulikana barabara kwa kutaka kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila. Nani atamsapoti mtu huyu kwa kauli zake chafu na matusi hata kwa viongozi wengine wa dini wakati hawakumkosea. Niishie hapo ni mengi mno kuhusu askofu wa wajinga.
Hata banda langu la kufugia nguruwe lina ubora kuliko hilo hapo anapotumia kuwapigia hela wafuasi wake.
kwani halima mdee ni maendeleo gani ameleta tangu awe mbunge wa kawe?lazima abadirike tuone na huyu atawezaje kuwatetea wana kaweWana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.