Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Sasa wewe na yeye mnatofauti gani maana hata wewe unatumia kauli chafu na matusi kumuelezea "askofu wa wajinga".
Mbwa mwitu wa kondoo za Bwana na askofu wa wajinga wala simumunyi maneno hapa na kama wewe unamfuata utaliwa tu kwani wajinga ndio waliwao. Kamwe hawezi kuwa mtumishi wa kweli wa Mungu aliye hai ni juu yako kuendelea kumwamini.
 
Hahaha aliwahi kusema ananunua vichwa na mabehewa ya treni ya umeme.

Amezoea kuwadanganya waumini wake anadhani kawe yote wajinga.
 

Yawezekana Binadamu aliyebakia duniani kujua ya kwamba kama kuna Watu ambao hupaswi Kuwaamini kwa 100% ni Wanasiasa. Pole mno Mkuu!
 
QUOTE="The Boss, post: 36639212, member: 18247"]
Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
[/QUOTE]
Walipima mtoto wa dada hauziki
 
Siasa yataka uongo dini yataka ukweli. Kazi ipo kwenye kujigawa
 
Sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!
Acha upotoshaji. Huyu Bishop. Gwajima kwenye Corona alisimama mstari wa mbele kabisa kuhimiza maombi. Huyu mtu anafaa kuwa mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…