Mbwa mwitu wa kondoo za Bwana na askofu wa wajinga wala simumunyi maneno hapa na kama wewe unamfuata utaliwa tu kwani wajinga ndio waliwao. Kamwe hawezi kuwa mtumishi wa kweli wa Mungu aliye hai ni juu yako kuendelea kumwamini.Sasa wewe na yeye mnatofauti gani maana hata wewe unatumia kauli chafu na matusi kumuelezea "askofu wa wajinga".
pia ndio sehemu pekee duniani marehemu wanafufukaHata banda langu la kufugia nguruwe lina ubora kuliko hilo hapo anapotumia kuwapigia hela wafuasi wake.
Mwenye picha za kanisa la ubungo la Gwajima atuwekee hapa
Wrong usimwamini nabii yeyote wa karne hiiUsimwamini mwanasiasa yeyote.
The best comment ever in this thread!Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
Can i steal this comment for my future use?Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
Huyu haendi mbinguni
Unajua nini maana ya kanisa?Haya makanisa ambayo hajasajiliwa ni ya kipuuzi sana
Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Hujui.....Hebu nipashe!.....Sijui.....Kwa huyu Yesu kawekwa sebuleni!!Yesu katupwa pembeni, sasa hivi ni mwendo wa kuongea uwongo?
jamani jamani huyu tapeli kweli kweli
Haya makanisa ambayo hajasajiliwa ni ya kipuuzi sana
Ukimuona nyani mjini jiulize maSwali mengiHuyu ni tapeli
Acha upotoshaji. Huyu Bishop. Gwajima kwenye Corona alisimama mstari wa mbele kabisa kuhimiza maombi. Huyu mtu anafaa kuwa mbunge.Sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!