Tapeli....Huyu si ndo yule aliyemfufua binti aliyekufa shuleni jana yake, asubuhi akaletwa kanisani na mama yake na kumkalisha marehemu kwenye kiti.
Mze wa kuwapaka rangi ma beachboy na ili wawe misukule ili awafufue.
Tone ya sauti yake tu anapohubiri unajua huyu ni nani.
Wakikusikia wenyewe wenye askofu wao, utajuta kuwafahamu.Tapeli....
Ujue ni wakufugwaUkimuona nyani mjini jiulize maSwali mengi
Sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!
Hata wewe unaweza kuleta hoja kama unazo tukazijadili.Haya ww mwenye hoja, lete hoja kuhusu gwajima!
AliEditiwa. Kichwa Chake kiwiliwili cha Mwingine.Mzee wa filamu pendwa
Lipo kama treni ya kigoma
Huyu ni mtaslamu wa kula kondoo a .k .a kupiga finishing waamini wake wa kike , unakuta eti jitu linaruhusu mke wake mzuri akasali kanisani kwa Gwajima .Aliwahi kusema atsleta treni us umeme mmesahau ? Ni tapeli wa kutupa . Ona ahadi zake za zamani hapa .Wana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Yaan Kawe kwa Gwajima msipouziwa Mbuzi kwenye Gunia basi mtauziwa hata Gunia kwenye MbuziWana JF,
Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.
Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
bonge la tapeli huyu haya nilikuwa siyakumbuki, huyu mchungaji feki na ahadi fekiHuyu ni mtaslamu wa kula kondoo a .k .a kupiga finishing waamini wake wa kike , unakuta eti jitu linaruhusu mke wake mzuri akasali kanisani kwa Gwajima .Aliwahi kusema atsleta treni us umeme mmesahau ? Ni tapeli wa kutupa . Ona ahadi zake za zamani hapa .View attachment 1565974View attachment 1565976
Huyu ana sifa hizi...Wakikusikia wenyewe wenye askofu wao, utajuta kuwafahamu.
yale maneno aliyomtukana PengoHuyu ana sifa hizi...
. Muongo
. Tapeli
. Porn master
. Mdini
. Mkabila
Hafai sn huyu jamaa mhuni mhuni tu
hatari haya mambo