Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Huyo Askofu tapeli gwajima mpigeni chini fasta.....

Kwanza yuko bize anaratibu kikundi chake cha kikabila yy na makonda.....

Nitawashangaa mkimchahua mcheza porn huyu.....

Piga chini hii ng'ombe mdini na mkabila huyo abaki na hicho kikundi cha kigaidi na waumini wake ambao wapo km mang'ombe
 
Huyu si ndo yule aliyemfufua binti aliyekufa shuleni jana yake, asubuhi akaletwa kanisani na mama yake na kumkalisha marehemu kwenye kiti.
Mze wa kuwapaka rangi ma beachboy na ili wawe misukule ili awafufue.
Tone ya sauti yake tu anapohubiri unajua huyu ni nani.
Tapeli....
 
Sidhani kama kua mtu atampa kura! Mara nitamfufua Chifupa, mara nitawaponya, kwenye corona alijichimbia kichwa kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje!

Kama kuna matapeli kuwahi kutokea dunia hii, basi Askofu Fake Gwajima ni mmoja wao!!
Gwajima is just a moneymonger hana lolote huyu!! Biblia inasema HUWEZI KUWATUMIKIA MABWANA 2! Huwezi kuwa Askofu na wakti huohuo uwe MBUNGE na ufanikishe sehemu zote...never ever!
 
Mwaka 2016 aliiongopea ile misukule yake kuwa amenunua treni ikawawa inarukaruka kumshangilia kama manyani bila kumhoji kuwa mbona hujajenga reli. Jamaa ni mwongo sana.
 
Gwajima ni mpigaji tu kama walivyo wapigaji wengine...kula hela za wajinga ni ruksa hadi hapo watakapojitambua..!!

Ila kwa Kawe tupishe kwanza! Hangaika na sadaka zako.
 
Wana JF,

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.

Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Huyu ni mtaslamu wa kula kondoo a .k .a kupiga finishing waamini wake wa kike , unakuta eti jitu linaruhusu mke wake mzuri akasali kanisani kwa Gwajima .Aliwahi kusema atsleta treni us umeme mmesahau ? Ni tapeli wa kutupa . Ona ahadi zake za zamani hapa .
IMG_20200911_014757.jpg
IMG_20200911_014749.jpg
 
Wana JF,

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.

Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Yaan Kawe kwa Gwajima msipouziwa Mbuzi kwenye Gunia basi mtauziwa hata Gunia kwenye Mbuzi
 
Huyu ni mtaslamu wa kula kondoo a .k .a kupiga finishing waamini wake wa kike , unakuta eti jitu linaruhusu mke wake mzuri akasali kanisani kwa Gwajima .Aliwahi kusema atsleta treni us umeme mmesahau ? Ni tapeli wa kutupa . Ona ahadi zake za zamani hapa .View attachment 1565974View attachment 1565976
bonge la tapeli huyu haya nilikuwa siyakumbuki, huyu mchungaji feki na ahadi feki
 
Back
Top Bottom